Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Wadada wa kibongo ni issue sana kuwa nao katika mahusiano, yaani wengi wao hawajitambui hata kidogo. Huyu Catherine si ni mbunge huyu na mtunga sheria, ona sasa anavyofanya mambo ya kijinga hadharani. Alikuwa nyumba ndogo ya Mh. Kagasheki, akamtema na sasa anaingilia ndoa ya mwanamke mwenzake. Very useless.

Hivi hawezi kukamatwa huyu na kupewa mwanamme wa kumuoa kwa lazima ili atulizane akili? Mh. Ndugai kanuni za kibunge zinasemaje kuhusu mbunge kicheche anayelazimisha kuolewa?
 
Sawa chawa wa Cathy
 
Mtoto mzuri kweli sema kwa kawaida tu Caty huwaga malaya sana sijui kwanini yani? Hili jina bana


Mmnh labda ulokutana nao lakini nilokutana mimi naona wametulia sana tena wachaMungu!
Wapo ambao wamemaliza hadi University wakiwa mabikira wa asili kabisa hadi wanaolewa!
Itakuwa ni mtu tu mwenyewe lakini siyo jina sababu hata tafsiri ya jina lenyewe linamaana ya utulivu Yani virgin, clean and the like!
 
Hawa mademu dizaini ya Kajala na mwanawe wakamatwe wapelekwe Dodoma au Milembe wakapumzike tu, tumewachoka sasa.
 
Mnao mlaumu Catherine Magige nawashangaa sana. Kwani ninyi hamjasoma Maandiko kuwa, "alalaye na kahaba anakuwa mwili mmoja na kahaba huyo"?
Mwendazake Madoda alilala na kahaba na kahaba huyo wakawa "mwili mmoja" sasa huyo kahaba ana haki ya kushiriki mazishi ya mwenzake.
Soma, 1 Wakorintho 6:16
 
Ohooooo!!
 
Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Looooooooord Haaaave Meeercy!!!πŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
 
Dah nimeona iyo video kwa kweli ni mambo ya aibu kabisa kwa mtu kama mbunge [emoji22][emoji22]
 
Umenena kitaalam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…