Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
πŸ€” πŸ€” πŸ€”
 
Hata ma high schoolswewtheart hatuwalilii tena Mtani!

Ila mekumiss bana.
 
Mwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga unga

Angekua na pesa connection za namba huanzia kwa steve nyerere halafu angekua na pesa wangekutana tu sasa mwenzake anakunywa whisky class, yeye anaenda viwanja vya komoni wataonana wapi
 
Angekua na pesa connection za namba huanzia kwa steve nyerere halafu angekua na pesa wangekutana tu sasa mwenzake anakunywa whisky class, yeye anaenda viwanja vya komoni wataonana wapi
Hahahahahhaa....dah...wanaume mna kazi walah!
 
Mkuu umesahau makubaliano yetu kwenye ule mkutano mkuu wa 123 ajenda namba 7 tulikubaliana wanawake wa aina hii hatuoi ni kupiga na kusepa?
Hawa ndio wale wenye nuksi. Ukipiga Kama ulikua unagombea urais, urais utaukosa, Kama Ni mtanyakazi utatumbuliwa, Kama Ni mfanyabiashara utafilisika au utakufa, Kama ulikua waziri, uwaziri huupati Tena.
 
Haya ndio matitizo ya sheria za ndoa, moja ktk ndoa akishasema sitaki hii ndoa ktk uhalisia hakuna ndoa, Talaka ziishie kwa Wakili wa serikali hakuna kupeleka mahakamani, Hapo huyo mwanamke aliyeachwa anapigania pesa na mali za Jamaa alizoacha hakuna kingine, Mwanaume alishamkataa akiwa hai leo anagombania maiti?. Na ktk ndoa kila mali ziwe na majina ya mwenye mali hakuna mali za familia, wanawake wa sasa mume akishakua na pesa kidogo waanzisha vurugu ili mume afe wachukue pesa, lazima wabunge wabadilishe hizi sheria tuwe na sheria kama za China na Ulaya. Hata Bill Gate yalimshinda akabwaga manyanga
 
Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria πŸ™„
Mnamlazimisha marehemu akubali mke aliyemkataa akiwa hai?
 
Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Kwa hiyo bunge la ndugai lina wabunge malaya malaya kama huyo Catherine, anataka kupelekewa moto na waume za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…