Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

ngoja ninogeshe uzi kwa picha mujarabu

mwenye vikuku ( zile zetu zipo za mpododo ) wacha watu wamshobokee bhana.

Mke wa halali wa bwana Kudula Madoda akiwa na majonzi tele .

 
Job ndugai amchukue na kumfanya mke mdogo
 
kama mwanaume alimkataa kwa nini alikuwa anamfuata huyu mwanamke na kumzuia aiondoke
kwa nini alimwita akiwa anaelekea kwenye umauti?

mambo ya watu ni magumu mno
 
Nenda kwa Lemutuz kachukua full clip...yule mke nae anaonekana mshari asee ndo maana jamaa alimkimbia[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lakini wengi wamestand na huyo wife...dah .mm niishi na mume wa mtu akifa nakaa kimya tu ! Maana hata kuzaa hujazaa naye...yani unakosa pakujishikiza
 
Nilikuepo pale kwa Dr mohamed machina sindano, marehem aliletwa na dereva na crown nyeusi, anapepesuka, akapandishwa kwenye kitanda Cha sindano, alkua anaomba aitiwe mke wake Aziza (sijahadithiwa) halafu akakataa roho.
 
Lakini wengi wamestand na huyo wife...dah .mm niishi na mume wa mtu akifa nakaa kimya tu ! Maana hata kuzaa hujazaa naye...yani unakosa pakujishikiza
Ni mchumba wake na Pete kavishwa...na kakaa nae 2 yrs toka 2018

Sema Cat alizubaa sana ilitakiwa hiyo divorce iwe imeshatoka mapema sana, ndo imekula kwake, na kama alikuwa anafanya nae investments zozote sijui mwanaume anaandika majina yake.....hiyo ndo nitolee wife analamba vyotee maninaaa[emoji134]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga unga
Mbona Sasa umekejeli

Yeye kaomba namba hata Dm Ni sehemu ya mawasiliano.

Hata kuunga unga nayo maisha ili mradi unaenda chooni[emoji1]
 
Nilikuepo pale kwa Dr mohamed machina sindano, marehem aliletwa na dereva na crown nyeusi, anapepesuka, akapandishwa kwenye kitanda Cha sindano, alkua anaomba aitiwe mke wake Aziza (sijahadithiwa) halafu akakataa roho.
Aliugua nn..?funzo kubwa sana hapo..hata ujifanyr unapendwa vipi mke wa ndoa atabak mke wa ndoa aise
 
Nilikuepo pale kwa Dr mohamed machina sindano, marehem aliletwa na dereva na crown nyeusi, anapepesuka, akapandishwa kwenye kitanda Cha sindano, alkua anaomba aitiwe mke wake Aziza (sijahadithiwa) halafu akakataa roho.
Inasemekana alikuwa anaumwa nini??

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 

Hivi ww wity unakubalije kivalishwa pete na wakati bado inatambulika mchumba ana mke? Saa zingine sisi wanawake akili zinawaz kapicha kadogo kweli!ilibidi advorce ndo aje kumvisha pete...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…