Yeye ndo kapigwa hela ndo maana kinamuuma...hivi mchepuko utapataje nguvu za kuvunja hadi geti ili uweke shada la maua kwenye jeneza[emoji848][emoji848][emoji849]Oooh kumbe!!! Mirathi inahusu hapo...
1. MNasikia hata tajiri wa mabasi wa dodoma ambaye pia Ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.
Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae
Pia nasikia mbunge Fulani wa huko geita alijiburuza nae
Si Haba
Hatuhitaji kuwezeshwa, tukiamua tu tunawezaWANAWAKE TUNAWEZAAA🤸♂️
Kapigwa tena hahaha?!!!!Yeye ndo kapigwa hela ndo maana kinamuuma...hivi mchepuko utapataje nguvu za kuvunja hadi geti ili uweke shada la maua kwenye jeneza[emoji848][emoji848][emoji849]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kabla ya mazishi hayo Magige alidai marehemu alikuwa mchumba wake lakini ndugu wa marehemu wakidai huyo alikuwa mwizi Kama wezi wengine wa wanaume na familia inamtambua mke halali wa marehemu ni Aziza Msuya.Msiba wa marehemu Kudula Madoda anayedaiwa kuwa mchumba wa mbunge wa viti maalumu Catherine Magige, umetawaliwa na vituko ya aina yake Mara baada ya Magige na kundi lake kuvunja geti ili kushiriki maziko ya marehemu baada ya kuzuiwa.
Marehemu Madoda amezikwa leo katika shamba lake eneo la Nduruma,ambapo katika mazishi hayo yaliyoratibiwa na ndugu wa marehemu Magige hakutakiwa kuingia kaburini na wapambe wake baada ya familia hiyo kueleza kwamba watakao ingia kaburini ni wachache.
Hata hivyo Mbunge Magige akiwa na kundi lake aliamua kuvamia kwa kuvunja lango la kuingilia ndani ya shamba Hilo na kufanikisha kushiriki mazishi kwa kuweka shada la maua kaburini.
Watu walipokuwa kwenye kaburi walijawa na taharuki kuona Mbunge huyo akiongoza kundi la wanawake kuingia ndani ya shamba ambako mwili wa marehemu ulizikwa.
Kabla ya mazishi hayo Magige alidai marehemu alikuwa mchumba wake lakini ndugu wa marehemu wakidai huyo alikuwa mwizi Kama wezi wengine wa wanaume na familia inamtambua mke halali wa marehemu ni Aziza Msuya.
Marehemu ameacha watoto watatu wa mke wake wa ndoa Aziza Msuya aliyefunga naye ndoa ya kikristu mwaka 2003mjini Dodoma.
At least 500 hivii na ushee1. M
2. Then K
3. Then S
4. Then M
5. Then C
6. Then the late
Hapo hatujahesabu one night stand
Hivi mwanamke akiwa na miaka 55 anapaswa awe ametembea na wanaume wangapi?
Kama hivo poa hata mimi mwenyewe pasi zilinishinda. Napenda wanaopendwa na BehaviouristMzigo uko chini mofoloji kichuguu...
Huyo mbunge sizan kama anashida ya miradhi huyo kahudumu bungeni vipindi kadhaa ana shekeli za kutosha.Hapo tatizo sio kuzika tatizo ni kutambulika kwenye MIRATHI.
Pesa Pesaa
Maisha ya Jamhuri ya Instagram, poleni wafiwa.
Hata Kama Edo alipita.Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Huyo mbunge sizan kama anashida ya miradhi huyo kahudumu bungeni vipindi kadhaa ana shekeli za kutosha.
Huyo itakuwa ni LOVE tu, inaonekana alimuelewa marehemu
Hebu tufafanulie Aziza Aziza ndo nani huyu?Eti jamani aziza alifumaniwa ana msg akisifia jinsi alivyoliwa mpalange ni kweli?