Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Tuache hayo ya wanaume tunataka nini? Hebu tudeal na hii kesi iliyopo kwakweli mke na kipanki namna hiyo anaonekana ni wale mademu wa Arusha wanapendaga panki sasa jamaa akikaa na masuti zake anaona kabisa hii panki inazingua Ila akijiweka kea Cathy Yani unaona kabisa wanaendana jamani. Hii haihusiani na ndoa lakini 😃[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe huyo[emoji16]
Hivi wanaume mnataka nini???[emoji849][emoji849][emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app