Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,894
Ni mchumba wake na Pete kavishwa...na kakaa nae 2 yrs toka 2018
Sema Cat alizubaa sana ilitakiwa hiyo divorce iwe imeshatoka mapema sana, ndo imekula kwake, na kama alikuwa anafanya nae investments zozote sijui mwanaume anaandika majina yake.....hiyo ndo nitolee wife analamba vyotee maninaaa[emoji134]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Dooh unafanyaje investment na mchumba [emoji848][emoji848] ambaye anatarajia talaka [emoji848][emoji848] wanawake ifike wakati tujitambue