Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20241225_200701.jpg


Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
 
Mbona uchaguzi umeshaisha na tunaendelea na maisha mengine shida ni Nini minung'uniko hiyo??
Uchaguzi umeisha ila Mbowe matusi na uchafu aliopakwa utaishi milele.

Nyinyi mmepata madaraka, yeye mmemuachia maumivu.

Alichowakosea nini Chadema, ni huo uenyekiti tu?
 
Ndio demokrasia hio,Ubaya wa kina Lissu ni upi?
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
1737647024556.jpg
 
Uchaguzi umeisha ila Mbowe matusi na uchafu aliopakwa utaishi milele.

Nyinyi mmepata madaraka, yeye mmemuachia maumivu.

Alichowakosea nini Chadema, ni huo uenyekiti tu?
Kakwwmbia hamna alichoambulia? 12B unaziona ndogo?
 
Umeshaambiwa Mbowe aliyetoka gerezani ni tofauti na yule aliyekwenda gerezani, ulitaka mpaka chama kimfie mikononi? Au ndiu ule msemo wa kusikia kwa kenge mpaka.......
 
Back
Top Bottom