Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Kwangu nimefurahi Kwa sababu huu mtindo wa kupakana matope Kwa uzushi umeasisiwa na machadomo ambao huwazushia hivyo watu wasio waunga mkono ikiwemo Kuitwa chawa.

Sasa Kwa kuwa imeanza kuwakuta wenyewe nimefurahi kweli,na hata hao wengine watakuja kumalizana Kwa utaratibu huu huu maana ndio mbinu inayowalipa.

Hukumbuki nyie Machado Huwa mnasema Samia ameuza Mali za Tanganyika bila ushahidi kisa kuita wawekezaji,Huwa mna mbagua Kwa Jinsia yake na eneo anakotokea nk nk.

Ila Kila mtu atapata majibu Kwa wakati wake,hayo ya Mbowe ni Mwanzo tuu,tutasikia mengi mda utaleta majibu.
 
Uchaguzi umeisha ila Mbowe matusi na uchafu aliopakwa utaishi milele.

Nyinyi mmepata madaraka, yeye mmemuachia maumivu.

Alichowakosea nini Chadema, ni huo uenyekiti tu?
Malipo ni hapa hapa duniani. Yeye hakuwavunjia heshima, lkn wao walifanya hivyo. Karma haikoseagi njia...inakujaga kama dhoruba
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!

View: https://youtube.com/shorts/zG_n6kzkVHk?si=fVQ1042Z8ex7G3cw
 
Malipo ni hapa hapa duniani. Yeye hakuwavunjia heshima, lkn wao walifanya hivyo. Karma haikoseagi njia...inakujaga kama dhoruba
Ni kweli Lissu, Lema na Heche watapokea anguko lao.
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Hakuna hoja ya kimantiki ya kuthibitisha Mungu yupo.

Habari za "Mungu atakulipia" ni kujifariji tu.
 
Mkuu, Mbowe katukanwa sana kapakaziwa hadi kupotea kwa Soka.

Muacheni apumzike hastaili huu usaliti.
Hata mipango ya kuuawa kwa Chacha Wangwe tunahisi niyeye kwa kushirikiana na Deus Mallya.
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Hawatafika mbali
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Mtafute sasa akuajiri kwenye biashara zake,Kama Mke wake tu Doctor Lilian alipiga simu nakumpongeza Lissu wewe mpango wakando kwanini hukubali halihalisi?
 
Mtafute sasa akuajiri kwenye biashara zake,Kama Mke wake tu Doctor Lilian alipiga simu nakumpongeza Lissu wewe mpango wakando kwanini hukubali halihalisi?
Haya matusi mmeyatumia kupata madaraka, kwa hiyo ndio mtaendelea kutukana watu namna yani ndio utamaduni wenu?
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Acha kulia lia wewe,yaliyopitasondwele tugange yajayo tukijenhe chama chetu imara na chenye nguvu kuwa imara zaidi.
 
Mbowe ataumia kwa namna kundi la usaliti lilivyofanya kazi haramu (fitna) kumuondoa, mbaya zaidi ni wale wale watu wake wa karibu kabisa ndiyo wamemfanyia huo uhuni.
Cha msingi wameshapewa chama - wapambane kuijenga CDM imara ili wasije chekwa mambo yakienda mrama na nahodha kujitosa baharini - hatuombei.

Mziki wa kuongoza chama cha upinzani tena Kikuu si wa kitoto, usipojipanga vizuri unaweza kukikimbia chama.
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
What is democracy
 
Back
Top Bottom