Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

Ndio demokrasia hio,Ubaya wa kina Lissu ni upi?
Demokrasia ni kushindana kwa hoja, mwenye hoja ashinde.

Kusema mwenzio kaongwa tena bila ushahidi sio demokrasia, ni kuteketeza heshima yake.
 
Umeshaambiwa Mbowe aliyetoka gerezani ni tofauti na yule aliyekwenda gerezani, ulitaka mpaka chama kimfie mikononi? Au ndiu ule msemo wa kusikia kwa kenge mpaka.......
Siwezi kuamini mtu muongo aliyeamua kumchafua mwenzie ili apate madaraka.
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Siasa tu zile....
 
Kwako unaziona nyingi, kule mboga mboga ni kiasi kidogo sana
Vijana mnafata mkumbo tu mnaumiza watu.

Mbowe hakustaili kuumizwa namna hii.

Eti kaongwa na CCM.

Ushaidi upo wapi?

Lissu kasema.
 
Demokrasia ni kushindana kwa hoja, mwenye hoja ashinde.

Kusema mwenzio kaongwa tena bila ushahidi sio demokrasia, ni kuteketeza heshima yake.
Yeye alipowaita wenzake wahuni alitoa ushahidi?
 

Attachments

  • IMG_4266.jpeg
    IMG_4266.jpeg
    42 KB · Views: 1
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Wooote ambao hawataki kudhalilishwa wako nje ya siasa, ukishakuwa mwana siasa wewe kubaliana na yote nadhani hata yeye Hilo analitambua.
Haya yote kayataka mwenyewe maana ilitosha yeye kusoma nyakati na kupima muda aliokaa madarakani then angefanya busara ya kumkabidhi mtu mwingine kijiti kabla hata watu hawajaanza kumwaga madhaifu yake.

Lkn wote wa yote uchaguzi umekwisha na wanachedema wote wamekubaliana na matokeo, kwa umoja wao wanajiandaa kwenda site kuwatetea Watanzania dhidi ya manyang'au wenzio. Kwa hiyo wewe dada acha kuwachonganisha ndgu( ndgu wakigombana shika jembe ukalime
 
Ninyi ndio mlikuwa hammtakii Mema mmemshauri Mzee wa watu Jambo la kijinga kwa manufaa yenu. Tumewaambia tangu siku ya Kwanza hashindi na itamuabisha hamkusikia.

Leo mnaendeleza unafiki wenu ili aone watu wengine wabaya wakati wabaya ni ninyi
 
Ninyi ndio mlikuwa hammtakii Mema mmemshauri Mzee wa watu Jambo la kijinga kwa manufaa yenu. Tumewaambia tangu siku ya Kwanza hashindi na itamuabisha hamkusikia.

Leo mnaendeleza unafiki wenu ili aone watu wengine wabaya wakati wabaya ni ninyi
Shida sio kushindwa.

Mbowe hakustaili matusi na kudhalilishwa.

Yeye alitumia haki yake ya kidemokrasia.

Mngeweza kutafuta kura bila kumzushia uongo. Sasa mshapata hayo madaraka, mnaweza msafisha?

Eti Mzee Kibao aliponiambia kuhusu rushwa ya Chadema akauawa, seriously?
 
Ww kama Nan unasikitika? bon yai?
Watu kama wewe vichwa vya panzi siwalaumi nyinyi mmebebwa na upepo. Ni kawaida bongo mtu akiitwa mwizi watu hawaulizi wanashambulia tu sababu ya sadism.

Nalaumu wale waliokuwa wanajua mchezo wanaoufanya.
 
Shida sio kushindwa.

Mbowe hakustaili matusi na kudhalilishwa.

Yeye alitumia haki yake ya kidemokrasia.

Mngeweza kutafuta kura bila kumzushia uongo. Sasa mshapata hayo madaraka, mnaweza msafisha?

Eti Mzee Kibao aliponiambia kuhusu rushwa ya Chadema akauawa, seriously?

Kama alizushiwa uongo taratibu za chama zinasemaje?
Kwa nini hazijafuatwa?

Kwenye siasa ukishakuwa na makandokando ya hapa na pale, siku za uchaguzi watu watasema tuu. Ukipinga ushahidi utatolewa
 
Back
Top Bottom