Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

Pole Freeman Mbowe! Umedhalilishwa sana ila Mungu atakulipia

Kama alizushiwa uongo taratibu za chama zinasemaje?
Kwa nini hazijafuatwa?

Kwenye siasa ukishakuwa na makandokando ya hapa na pale, siku za uchaguzi watu watasema tuu. Ukipinga ushahidi utatolewa
Mbowe mara ngapi kasema mwenye ushahidi autoe? Hakuna mwenye ushaidi ni kuropoka tu.

Uroho wa madaraka. Watalipa kila kitu sio mbali.
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Hivi wewe ni punguani au?
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Wewe nenda kaandika udaku wa bongo movie huko siasa huziwezi.
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Huu Mwandiko na maneno yake mbona ni kama ya mzee Wasira?? Ndiyo umeanza kazi rasmi?
 
Watu kama wewe vichwa vya panzi siwalaumi nyinyi mmebebwa na upepo. Ni kawaida bongo mtu akiitwa mwizi watu hawaulizi wanashambulia tu sababu ya sadism.

Nalaumu wale waliokuwa wanajua mchezo wanaoufanya.
Mim si pichwa panzi... Jenga hoja juu ya udalali uliokuwa unaendela hapo ufipa
 
Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
CHADEMA yote? How? Why CCM hamtaki kutuliza makalio mkawaza KUHUSU Babu Wasira mwenye vision ya 2050?
 
Tuliwaambia mugabe hawezi kushinda mkasema lisu hana wajumbe.
Sijui nini kinachowaliza nyie machawa wake
 
View attachment 3211616

Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"

Mbowe umedhalilishwa sana.

Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.

Umeitwa mlamba asali.

Umeitwa mla rushwa.

Umeitwa pandikizi la CCM.

Umeitwa Mugabe.

Umeitwa Nkrunzinza.

Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.

Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?

Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.

Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.

Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.

Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.

Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.

Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Kama unampenda kaoge naye
 
Tuliwaambia mugabe hawezi kushinda mkasema lisu hana wajumbe.
Sijui nini kinachowaliza nyie machawa wake
Kinachoumiza watanzania ni kwa nini mmemchafua Mbowe?

Yani mpaka mnasema kamuua Mzee Kibao?

Shida ni hayo madaraka tu?
 
Kama mnaona amezalilishwq mwambie ahame chama aende chama kingine
 
Back
Top Bottom