CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
USIFANYE UPUMBAVU KAMA HUO KARMA IS REAL.
KESHO UTAKUWA NA MTOTO SHOGA.
MUNGU AKUSAMEHE SANA.
NIMEKUONEA HURUMA MNO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe mara ngapi kasema mwenye ushahidi autoe? Hakuna mwenye ushaidi ni kuropoka tu.Kama alizushiwa uongo taratibu za chama zinasemaje?
Kwa nini hazijafuatwa?
Kwenye siasa ukishakuwa na makandokando ya hapa na pale, siku za uchaguzi watu watasema tuu. Ukipinga ushahidi utatolewa
Watoto kama wewe siwalaum hamjui mnalofanya.
Hivi wewe ni punguani au?View attachment 3211616
Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"
Mbowe umedhalilishwa sana.
Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.
Umeitwa mlamba asali.
Umeitwa mla rushwa.
Umeitwa pandikizi la CCM.
Umeitwa Mugabe.
Umeitwa Nkrunzinza.
Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.
Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.
Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.
Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.
Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.
Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.
Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Wewe nenda kaandika udaku wa bongo movie huko siasa huziwezi.View attachment 3211616
Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"
Mbowe umedhalilishwa sana.
Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.
Umeitwa mlamba asali.
Umeitwa mla rushwa.
Umeitwa pandikizi la CCM.
Umeitwa Mugabe.
Umeitwa Nkrunzinza.
Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.
Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.
Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.
Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.
Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.
Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.
Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Huu Mwandiko na maneno yake mbona ni kama ya mzee Wasira?? Ndiyo umeanza kazi rasmi?View attachment 3211616
Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"
Mbowe umedhalilishwa sana.
Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.
Umeitwa mlamba asali.
Umeitwa mla rushwa.
Umeitwa pandikizi la CCM.
Umeitwa Mugabe.
Umeitwa Nkrunzinza.
Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.
Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.
Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.
Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.
Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.
Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.
Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Mim si pichwa panzi... Jenga hoja juu ya udalali uliokuwa unaendela hapo ufipaWatu kama wewe vichwa vya panzi siwalaumi nyinyi mmebebwa na upepo. Ni kawaida bongo mtu akiitwa mwizi watu hawaulizi wanashambulia tu sababu ya sadism.
Nalaumu wale waliokuwa wanajua mchezo wanaoufanya.
CCM hamueleweki mnataka nini, si mlisema mbowe mfalme, leo katoka mnaanza vilio tenaMbowe hastaili huu udhalilishaji.
Hiki chama amekifanyia makubwa, msimfanyie hivi.
Chawa kama chawaWatoto kama wewe siwalaum hamjui mnalofanya.
CHADEMA yote? How? Why CCM hamtaki kutuliza makalio mkawaza KUHUSU Babu Wasira mwenye vision ya 2050?Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
Nashukuru Mungu sinywi pombe wala situkani watu mitandaoni mwisho mimi sio ng'ombe aliekatwa mkiaUSIFANYE UPUMBAVU KAMA HUO KARMA IS REAL.
KESHO UTAKUWA NA MTOTO SHOGA.
MUNGU AKUSAMEHE SANA.
NIMEKUONEA HURUMA MNO
Think tank wa CCM Hapo amejiona ameandika kitu chs maana cha kuwachonganisha CDM.Mbona uchaguzi umeshaisha na tunaendelea na maisha mengine shida ni Nini minung'uniko hiyo??
Kama siasa siziwezi nisingekushughulishaWewe nenda kaandika udaku wa bongo movie huko siasa huziwezi.
Kama unampenda kaoge nayeView attachment 3211616
Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"
Mbowe umedhalilishwa sana.
Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.
Umeitwa mlamba asali.
Umeitwa mla rushwa.
Umeitwa pandikizi la CCM.
Umeitwa Mugabe.
Umeitwa Nkrunzinza.
Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.
Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.
Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.
Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.
Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.
Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.
Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Nyinyi wasaliti wa Mbowe mnampenda sana kutengeneza uongo, sasa mimi na Wasira wapi na wapi?Huu Mwandiko na maneno yake mbona ni kama ya mzee Wasira?? Ndiyo umeanza kazi rasmi?
Nitaoga na mama yako ndio ninampenda.Kama unampenda kaoge naye
Kinachoumiza watanzania ni kwa nini mmemchafua Mbowe?Tuliwaambia mugabe hawezi kushinda mkasema lisu hana wajumbe.
Sijui nini kinachowaliza nyie machawa wake