sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #21
Demokrasia ni kushindana kwa hoja, mwenye hoja ashinde.Ndio demokrasia hio,Ubaya wa kina Lissu ni upi?
Hivi wewe unaijua bil 12?Kakwwmbia hamna alichoambulia? 12B unaziona ndogo?
Siwezi kuamini mtu muongo aliyeamua kumchafua mwenzie ili apate madaraka.Umeshaambiwa Mbowe aliyetoka gerezani ni tofauti na yule aliyekwenda gerezani, ulitaka mpaka chama kimfie mikononi? Au ndiu ule msemo wa kusikia kwa kenge mpaka.......
Siasa tu zile....View attachment 3211616
Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"
Mbowe umedhalilishwa sana.
Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.
Umeitwa mlamba asali.
Umeitwa mla rushwa.
Umeitwa pandikizi la CCM.
Umeitwa Mugabe.
Umeitwa Nkrunzinza.
Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.
Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.
Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.
Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.
Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.
Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.
Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Kwako unaziona nyingi, kule mboga mboga ni kiasi kidogo sanaHivi wewe unaijua bil 12?
Ukiambiwa utoe ushaidi hauna ila umeamua kuamini na kufata upepo.
Vijana mnafata mkumbo tu mnaumiza watu.Kwako unaziona nyingi, kule mboga mboga ni kiasi kidogo sana
Wivu unawasumbua.Mmekipata mlichokitaka, lakini maumivu mliyomuachia Old man ni makubwa sana nyinyi mtalipwa siku moja msikie kile anapitia sasa hivi.
Wew kama unamwamini mbowe Wacha na sisi tumwamini lisu.Vijana mnafata mkumbo tu mnaumiza watu.
Mbowe hakustaili kuumizwa namna hii.
Eti kaongwa na CCM.
Ushaidi upo wapi?
Lissu kasema.
Yeye alipowaita wenzake wahuni alitoa ushahidi?Demokrasia ni kushindana kwa hoja, mwenye hoja ashinde.
Kusema mwenzio kaongwa tena bila ushahidi sio demokrasia, ni kuteketeza heshima yake.
Checki macho ya Jasusi la Netflix.
Wooote ambao hawataki kudhalilishwa wako nje ya siasa, ukishakuwa mwana siasa wewe kubaliana na yote nadhani hata yeye Hilo analitambua.View attachment 3211616
Nakumbuka kwenye interview moja ulisema "nikimuangalia Lissu nabaki najiuliza ndio huyu huyu?"
Mbowe umedhalilishwa sana.
Umefukuzwa kwenye nafasi yako kwa ghirba na hila.
Umeitwa mlamba asali.
Umeitwa mla rushwa.
Umeitwa pandikizi la CCM.
Umeitwa Mugabe.
Umeitwa Nkrunzinza.
Tumeambiwa umenunuliwa na Abdul.
Ghafla ukageuka adui wa chama na mtu usiyeitakia mema CHADEMA. Chadema yote ikaanza kukusulubu bila kuwa na ushaidi wowote, kwa nini wamekufanyia hivi?
Yote haya yamefanywa na vijana wako uliyetumia raslimali zako na upendo wako kuwalea na kuwakuza wakawa maarufu kwenye siasa.
Mwisho wake kelele za social media zikawatoa ubinadamu wakajiona wakubwa supermen, wakakugeuzia kibao wakataka kiti chako kwa nguvu wakatumia mtindo wa kukuchafua ili wapate madaraka na kweli wameyapata.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Wewe umebaki mchafu, history haitakukumbuka kama shujaa itakukumbuka kama mwenyekiti uliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za ufisadi na kungangania madaraka.
Lakini Mungu yupo, kabla ya uchaguzi wa 2025 atakuwa amekujibu na kukulipia kila baya walilokufanyia.
Lissu, Lema na Heche ni watu wabaya sana.
Wanaona vinaelea hawajui viliundwa. Wamekuta chama kipo nchi nzima wanaamua kukupora kwa kuchafua heshima yako uliopigania kwa gharama kubwa kuijenga.
Umedhalilika sana ila Mungu atakulipia!
Walikuwa wanamuonea wivu sababu ana pesa. Mengine ni visingizio tu.Wivu unawasumbua.
Mimi nasikitika tu unyama aliofanyiwa Mbowe, sababu tu ya uroho wa madaraka.Wew kama unamwamini mbowe Wacha na sisi tumwamini lisu.
Ww kama Nan unasikitika? bon yai?Mimi nasikitika tu unyama aliofanyiwa Mbowe, sababu tu ya uroho wa madaraka.
Shida sio kushindwa.Ninyi ndio mlikuwa hammtakii Mema mmemshauri Mzee wa watu Jambo la kijinga kwa manufaa yenu. Tumewaambia tangu siku ya Kwanza hashindi na itamuabisha hamkusikia.
Leo mnaendeleza unafiki wenu ili aone watu wengine wabaya wakati wabaya ni ninyi
Watu kama wewe vichwa vya panzi siwalaumi nyinyi mmebebwa na upepo. Ni kawaida bongo mtu akiitwa mwizi watu hawaulizi wanashambulia tu sababu ya sadism.Ww kama Nan unasikitika? bon yai?
Shida sio kushindwa.
Mbowe hakustaili matusi na kudhalilishwa.
Yeye alitumia haki yake ya kidemokrasia.
Mngeweza kutafuta kura bila kumzushia uongo. Sasa mshapata hayo madaraka, mnaweza msafisha?
Eti Mzee Kibao aliponiambia kuhusu rushwa ya Chadema akauawa, seriously?
Mbowe hastaili huu udhalilishaji.
Hiki chama amekifanyia makubwa, msimfanyie hivi.