Pole kwa vijana wajinga wote

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Vijana wengi wa kileo ni wajinga. Cha ajabu ni kwamba wameenda shule ila ujinga bado ungali vichwani mwao. Sijui tuwaite wapumbavu au tuishie kwenye level ya ujinga tu.
Mahari 3.5 ml, 4.5, 3ml, 4ml na vikorokoro vingine juu.
Hizo mahari watu wa kale mnaowaiga mmewahi kusikia wamewahi kutoa kwa binti used?
Mara mkaja wa mama, mkaja wa mjomba. Sawa ni utamaduni, je, hao walioanzisha wamewahi kutoa mkaja wa maza kwa binti ambaye hana bikra?
Mnazidiwa akili na vijana wa zama za mawe.
Binti ambaye hana bikra akiolewa ni kama anasaidiwa tu yeye pamoja na wazazi wake, ikiwezekana mwanaume unaweza kudai fidia ndipo uishi naye ndani.
😭😭😭😭
 
Utajuaje kuwa mchuchu ni bikira kabla ya kumuoa?

Maana yake umfunue maungo na utest mitambo ikigoma ujue chuma kipo sealed ama?

 
Maisha hayahitaji kujipa taabu kiasi hicho, heshimu taratibu na maamuzi ya wengine. Mila na desturi ni nguzo kuu ya maisha ya jamii yoyote ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…