Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hapo sasaUtajuaje kuwa mchuchu ni bikora kabla ya kumuoa?
Maana yake umfunue maungo na utest mitambo ikigoma ujue chuma kipo sealed ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasaUtajuaje kuwa mchuchu ni bikora kabla ya kumuoa?
Maana yake umfunue maungo na utest mitambo ikigoma ujue chuma kipo sealed ama?
Mimi wakati nammendea maza wake mkubwa alinibamba ananiambia kuwa Binti ni sealed labda kama nimeitoa ni Mimi . Kaniuliza unampango gani na binti huyu au unataka umbwage baadaye?Hapo sasa
tuwape mimba tu au vipi hapo mkuuVijana wengi wa kileo ni wajinga. Cha ajabu ni kwamba wameenda shule ila ujinga bado ungali vichwani mwao. Sijui tuwaite wapumbavu au tuishie kwenye level ya ujinga tu.
Mahari 3.5 ml, 4.5, 3ml, 4ml na vikorokoro vingine juu.
Hizo mahari watu wa kale mnaowaiga mmewahi kusikia wamewahi kutoa kwa binti used?
Mara mkaja wa mama, mkaja wa mjomba. Sawa ni utamaduni, je, hao walioanzisha wamewahi kutoa mkaja wa maza kwa binti ambaye hana bikra?
Binti ambaye hana bikra akiolewa ni kama anasaidiwa tu yeye pamoja na wazazi wake, ikiwezekana mwanaume unaweza kudai fidia ndipo uishi naye ndani.
😭😭😭😭
Tell him...Vingine viache usitake kujikuta game changer
Utajuaje kuwa mchuchu ni bikora kabla ya kumuoa?
Maana yake umfunue maungo na utest mitambo ikigoma ujue chuma kipo sealed ama?
QmmmmmQe 😂 😂 😂Mbwaaa ww🤣🤣🤣🤣
Haya maandishi unapaswa uyabold kabisa.Mimi wakati nammendea maza wake mkubwa alinibamba ananiambia kuwa Binti ni sealed labda kama nimeitoa ni Mimi . Kaniuliza unampango gani na binti huyu au unataka umbwage baadaye?
Bikra anajulikana. Na aliyegongwa anajulikana
Huwezi kuwa na uhakika kuwa wamama na mabibi wa zamani wote waliolewa na bikra. Hata wewe lipa mahali, oa, halafu piga kimya. Kwani bikra kitu gani bana!? Kusumbuana tu!Vijana wengi wa kileo ni wajinga. Cha ajabu ni kwamba wameenda shule ila ujinga bado ungali vichwani mwao. Sijui tuwaite wapumbavu au tuishie kwenye level ya ujinga tu.
Mahari 3.5 ml, 4.5, 3ml, 4ml na vikorokoro vingine juu.
Hizo mahari watu wa kale mnaowaiga mmewahi kusikia wamewahi kutoa kwa binti used?
Mara mkaja wa mama, mkaja wa mjomba. Sawa ni utamaduni, je, hao walioanzisha wamewahi kutoa mkaja wa maza kwa binti ambaye hana bikra?
Mnazidiwa akili na vijana wa zama za mawe.
Binti ambaye hana bikra akiolewa ni kama anasaidiwa tu yeye pamoja na wazazi wake, ikiwezekana mwanaume unaweza kudai fidia ndipo uishi naye ndani.
😭😭😭😭
Hatari ipo pande zote MkuuHiyo mahari ni ndogo sana kwa mtu anaekwenda kukubali kujenga familia na wewe , kwa kuhatarisha maisha yake kuendeleza ukoo wako.
😀😀😀😀😀😀Naona mliokuwa mnajinyima raha za Dunia kwa kutegemea mtapata mabinti waliojitunza mkeka umechanika