Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kuna waliokuwepo japo walikaa kwenye baa ya jirani, nao pia waombolezaji.In attendace:
MC Haji Manara
Mwekekiti Kamati -Kimbau
Naibu Spika Zungu
Mbunge Jerry Slaa
Mbunge Catherine Magige((Le Mbebez)
Mbunge Babu Tale-"PhD"
Mstahiki Meya WA JIJI
Maxence Melo
Wakurugenzi DSTV, ASAS, Chefs Pride,
Mabibi na mabwana na waombolezaji!
Kama ulikuwepo tia neno.
Baa ipi ya jirani mkuu, Ocean Road, Botanical Garden, Ikulu, National Museum au jengo la TBA HQ?Kuna waliokuwepo japo walikaa kwenye baa ya jirani, nao pia waombolezaji.
Imekuwaje Mzee Malecela akakosa hata kampani ya wastaafu wenzake na PM aliyeko madarakaniIn attendace:
MC Haji Manara
Mwekekiti Kamati -Kimbau
Naibu Spika Zungu
Mbunge Jerry Slaa
Mbunge Catherine Magige((Le Mbebez)
Mbunge Babu Tale-"PhD"
Mstahiki Meya WA JIJI
Maxence Melo
Wakurugenzi DSTV, ASAS, Chefs Pride,
Mabibi na mabwana na waombolezaji!
Kama ulikuwepo tia neno.
Wa nne ni yupi? (Ipyana, Mwele na William - RIP)Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.
Ni wa 5 ndio wametangulia mbele za hakiWa nne ni yupi? (Ipyana, Mwele na William - RIP)
wengine ni wapi?Ni wa 5 ndio wametangulia mbele za haki
Senyagwa-MeWa nne ni yupi? (Ipyana, Mwele na William - RIP)
Sasa na Dr Mwele alikuwa anagombania? Alikuwa amekosa nini?Kama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Kuna mzee namjua amezika watoto.wake 11 na mama yao.
Tena wakiwa wakubwa na wafanyakazi wote.
Walikufa mmoja baada ya mmoja na yeye mpaka leo yupo peke yake
Aliwapeleka shule na wengine nilisoma nao.
Aliwasomesha sana wanae ila ndio hivyo tena.
Ni mitihani binadamu tunaonyeshwa.
Ni kawaida
Au mzee alikuwa anawatanguliza ili yeye aishi?? Duniani kuna wabinafsiz mzee.Huko kwetu kuna mzee alizika namna hii, watoto walitangulizana hadi kijiji kikaogopa, alijaliwa watoto wengi lakini vijana wake wanne walianguka kwa space ya mda mfupi sana, tena wote wa kiume. Akaitwa na wazee wenzake, wakaongea, sijui kilichofanyika ila baada ya hapo bahari ikawa shwari.
Kama huishi maeneo hayo huwezi kujua.Baa ipi ya jirani mkuu, Ocean Road, Botanical Garden, Ikulu, National Museum au jengo ka TBA HQ?
Ni zaidi ya maumivu pale unapoona watoto wa wazee wenzio wanashika nafasi mbali mbali huko serekalini halafu watoto wako unawaona wanazidi kupukutika inauma sana . Pole nyingi kwa makamu wa Raisi wa zamani Mzee MalechellaInauma!
Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.
Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.
Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.
Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.
RIP Le Mutuz
Acha upumbavuKiroho hili lina maana kubwa sana. Ingawa kiafrika kulisem itaonekana kama unamnanga mfiwa.
Hapa kuna kitu Mungu anamfundisha mzee Malecela na sitakisema kwenye jukwaa hili.
Kuzika watoto wanne is not a joke.
Ila JF NI shida imebidi nirudie tena kusoma majina [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona wahuni watupu isipokuwa Mello na wengine wawili
Umeona sasa ulivyo mpumbavuAu mzee alikuwa anawatanguliza ili yeye aishi?? Duniani kuna wabinafsiz mzee.
Sisi tumeambiwa wa malecela hilo lingine baki nalokwani uyo Le mutuz ni mtoto wa Malecela
Utakuw wa Holiday Out wewe mkuu, hapo siingii!Kama huishi maeneo hayo huwezi kujua.