Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Inauma sana kuzika watoto, hasa ukiwa mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hizi mambo za kuzaa nje hovyo hutesa watoto sana, lemubebez was peace sana ila ya kubaguliwa ilimtesa sana, Mimi ndio maana hushangaa watu wanaozaa hovyo hovyo na kuja kutesa watoto. R. I. P lemutuzHakuwa mtoto wa ndoa, babayake alimkataa akiwa mdogo kuficha uzinzi wake kwa mke wake wa ndoa. Pendeni watoto wenu na HAKUNA MTOTO WA NJE USIMFICHE WAAMBIE FAMILIA KWAMBA HUYU NI DAMU YENU. R,I,P WILIAM
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Huko Mwanza hapawezi,na soon ataondolewa huku.Wamrudushe tu Katavi huko.Jana Naibu Spika Zungu alikuwepo, na akaondoka mara moja Kwenda kwenye mgomo Kariakoo, kumwahi Waziri Mkuu.
RC Makala, hakuonekana kabisa, ndio alikuwa amebeba bango la serikali Kariakoo, usiku ktumbuliwa na nusu kupelekwa kusikojulikana-Mwanza.
Vita sasa ni ile nyumba ya Sea view wale watoto wa Malecela na wa Kilango. Hope mzee atakuwa kaweka mambo sawa.Siku akichomoka na Anne akabaki,vita itakuwa kubwa na watoto wa Mzee Malecela.Duh na watamalizana wote bado na wale watoto wa mama Yao mdogo wa nje, na inakuwaje unagombania Mali za mzazi si utafte zake. Na wasiwasi na huyu mke mdogo kumaliza watoto halali
DuhNi wa 5 ndio wametangulia mbele za haki
ufafanuzi please.Waliofariki dunia ni Senyagwa, Ipyana, Dr Irene,Dr Mwele na William.
Walio hai ni Prof Seche, Jaji Mwendwa,Tully ,Samweli na Nyagwa.Tully ni wa kuadopt.
Kwani hiyo nyumba ,Anne si ameikuta?Vita sasa ni ile nyumba ya Sea view wale watoto wa Malecela na wa Kilango. Hope mzee atakuwa kaweka mambo sawa.Siku akichomoka na Anne akabaki,vita itakuwa kubwa na watoto wa Mzee Malecela.
Katika vitu ambavyo wazungu wametushika pabaya ni hili la mke mmoja asee. Mwanaume kama una uwezo wa kulea familia kuwa na nyumba mbili, uwe na watoto set mbili.Ana bahati alizaa Watoto wengi safi sana ,ngoja niongeze Kasi ya kuzaa regardless ni Mke au sio Mke
Ni roho mbaya tu za kibinadamu na pia ni kutokana na sumu walizonyeshwa na mama yao kuhusu lemutuzSasa na Dr Mwele alikuwa anagombania? Alikuwa amekosa nini?
Anne kaikuta sawa,ila ndio mke.Imagine mzee anachomoka wewe unafikiri itakuwaje.Ni vita hapo.Kwani hiyo nyumba ,Anne si ameikuta?
Hao watt wa Anne watakua wajinga,si Wana baba Yao jmn
Kwani ni mashindano?Kuna mzee namjua amezika watoto.wake 11 na mama yao.
Tena wakiwa wakubwa na wafanyakazi wote.
Walikufa mmoja baada ya mmoja na yeye mpaka leo yupo peke yake
Aliwapeleka shule na wengine nilisoma nao.
Aliwasomesha sana wanae ila ndio hivyo tena.
Ni mitihani binadamu tunaonyeshwa.
Ni kawaida
Kwahiyo hapo ukiondoa wa ku adopt,waliobaki ni 4?!!Waliofariki dunia ni Senyagwa, Ipyana, Dr Irene,Dr Mwele na William.
Walio hai ni Prof Seche, Jaji Mwendwa,Tully ,Samweli na Nyagwa.Tully ni wa kuadopt.
Yani nyumba ndio inataka watoa roho kiasi hicho na huyo Anne kilango kwanini a force Mali wanawe wa mwanaume mwingine wapate si Wana baba yaoVita sasa ni ile nyumba ya Sea view wale watoto wa Malecela na wa Kilango. Hope mzee atakuwa kaweka mambo sawa.Siku akichomoka na Anne akabaki,vita itakuwa kubwa na watoto wa Mzee Malecela.
Mungu amsaidie aweke mambo sawa , hakuna namna!Anne kaikuta sawa,ila ndio mke.Imagine mzee anachomoka wewe unafikiri itakuwaje.Ni vita hapo.
Hata babu yangu walikuwa hawavuki sitini wanakata moto karibia woteKuna mzee namjua amezika watoto.wake 11 na mama yao.
Tena wakiwa wakubwa na wafanyakazi wote.
Walikufa mmoja baada ya mmoja na yeye mpaka leo yupo peke yake
Aliwapeleka shule na wengine nilisoma nao.
Aliwasomesha sana wanae ila ndio hivyo tena.
Ni mitihani binadamu tunaonyeshwa.
Ni kawaida
Nimemjibu huyu mda sio mashindanoKwani ni mashindano?
Huyo Mama ni hatari,hata le Mutuz alivyotoka US si alifikia Sea View.Unaambiwa baada ya muda,Anne alimtimua Le Mutuz hapo Sea view.Yani nyumba ndio inataka watoa roho kiasi hicho na huyo Anne kilango kwanini a force Mali wanawe wa mwanaume mwingine wapate si Wana baba yao
Yap .Kwahiyo hapo ukiondoa wa ku adopt,waliobaki ni 4?!!
haya mambo yasikie tu, usiombe yatokee kwenye familia yako.Inaumiza sana kwa mzazi kuwazika watoto wako. Tunatarajia watoto wetu watuzike na sio kinyume chake.
RIP William, pole kwa familia ya mzee Malecela.