Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Maskini wee pole sanaHata babu yangu walikuwa hawavuki sitini wanakata moto karibia wote
Huwa inatokea sana huenda huwa wanakunbwa na maradhi kwenye damu zao ndugu
Hatuwezi kujua na ni fundisho pia
Ila tuwaombee kila wakati waliotutangulia
Na sisi tuombe sana mwisho mwema