Pole nyie ambao wake zenu wanafanya kazi!

Hakuna njia Moja ya kufanya usichapiwe. Unampa hela afu anampelekea x.

Binadam sio mtu wa kuzania
 
Uzi ufungwe mwamba umemaliza yote. Ukiwa mwanaume mwanamke hawezi zingua. Mleta mada bado hajitambui ameandika kiuoga sana na asichojua mwanamke akiamua jambo lake halikwami na kuliwa ni dakika tano tu stori inabadilika
 
Hao wa Majumbani ndio kwamba hawaliwi? Kwa taarifa yako anaweza kukaa nyumbani, akamega hela unayompa akamhonga boya tu hapo mtaani na akaja kumkazia hapo kwenye kitanda chako, akala ugali wako, akaoga bafuni kwako na kwa maji unayolipa wewe, na taa ya umeme unaonunua ndio ikammulikia aone tundu la nyau. Akimaliza anakunywa ka juice bariiiidi ambako kametengenezwa kwa matunda ulionunua wewe na kamepoozwa ktk Jokofu ulilonunua mwenyewe. We fuata maagizo, "Ishini nao kwa Akili" Na wewe usisahau kuishi. PERIOD...
 
Kifo chako ni kibaya na cha aibu, usijisifie
 
Just enjoy the moment
 
Just enjoy the moment
Moja kati ya vitu VYAKIPUMBAVU! ni kupoteza muda wako kumuwaza mkeo
Kama wewe unavyoweza kulala na yoyote hat yey anaweza pia
Akiamua kutywombwa fresh tu
Ukijua unapiga chin maisha yanaendeLea
 
Shimo ni la kwake kinachokuuma wewe ni Nini

Mwache maana huwezi mzuia hata Kwa njia gani akiamua anachakatwa tu

Tena waweza msindikiza kumbe ana miadi ya kudinywa

Cha maana hakikisha ukiwa naye unamchakata saizi yako


Ukishaondoka waachie wenzio

Ndiyo maana tukianza kufanya hivo wanaanza kulalamika

Wanaume wanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usijipe stress na kishimo wewe hicho ni chake
 
Ahahahah.
Sasa ukinikuta juu yake usinichome kisu 🤣🤣🤣🤣
 
Mwanamke hajulikani nn Anataka hapa Duniani kwahiyo waache tu wafanye wanavojiskia kufanya but, ili kupunguza ukali kidgo bc hakikisha unaowa mwanake mwenye Imani ya mungu bc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…