Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Pole saana mkuuDah tushazoeaππ
Pole saana huruma mnooAhsante,tushapoa, inauma sana kulala kama panga,hukandwi mgongo,hukumbatiwiβΉοΈ.
Ni kwelihaya sawa
Ni kwel
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Poleni na ninyi mnaolala wawili
Kuvumilia kijambo cha mtu mzima nacho mtihani..
Hahaha! Haloo.Poleni na ninyi mnaolala wawili
Kuvumilia kijambo cha mtu mzima nacho mtihani..
Shenzi zetu mbwa sisi[emoji38][emoji38][emoji38]Naona kulala pekee ni Kama adhabu, wee usiku mzima hakuna hata anayekugusa. Poleni wote mnaolala Kama baiskeli ukipaki imepaki utaikuta vilevile asubuhi.
Sitak kuamin uko single aisee, mana huna mapepe πKitandani kwangu nna mito mikubwa mi4 na midodo miwili nikigeuka huku mto miguuni mto mwingine katokati ya miguuu kwahiyo silali pekeangu nalala na mito π π π
Ila kulala mwenyewe daily kunachosha basi tunajikaza