Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Naona unawahurumia CCMNimewaza mengi na kuwaonea huruma. Lkn Cheo ni Dhamana, iwe ulihongwa au ulikipata kwa sifa za kiutendaji, ni DHAMANA
Inawezekana yako mengi katika yaliyofanya hawa watu watimuliwe, lkn Mh. Rais katika maongezi yake liko jambo kubwa kalisema ambalo ndio hasa limeshababisha WANA CCM KURUDISHA KADI ZAO CHAMANI, jambo lenyewe ni HONGO ILIYOPELEKEA KUHAMISHA MRADI KUTOKA ULIPOTAKIWA KUWA NA KUPELEKWA MAHALA PENGINE.
Kimsingi Rais amewatoa kwa sababu za Utovu wa NIDHAMU NA RUSHWA. je ni lini watapelekwa mahakamani?
Huzuni yangu kubwa ni stress ndani ya familia. Waza tu unapata taarifa ya kufukuzwa kazi kwenye watsap group ya MADC wenzako, Classmates wenzako, au group la mtaaani kwako. Usipokuwa makini unaweza kumchukia alieitupia badala ya alie kutengua.
Ushauri, tukiwa na nafasi za kisiasa tuziweke mbali familia zetu. DCs na DEDs mkiteuliwa msihamie na familia zenu kwenye vituo vya kazi. Nendeni wenyewe, mtaziponya na masimango na Huzuni.
Ungesikia sababu ya kufukuzwa kwao ni kosa la wananchi kurudisha kadi za CCM wala usingeandika hekaya hii.
Wizi na ubadhirifu kwenye miradi ni utamaduni unaolindwa na mamlaka ndo maana CAG naye ni mbadhirifu kwa kutumia fedha za umma kukagua mambo ambayo hayana tija kwa serikali yetu.
Waache wafu wawazike wafu wao