Poleni Sana DC na DED Mliotimuliwa: Kesho Watoto wenu wataenda Shule kama watoto wa Mwananchi wa Kawaida

Poleni Sana DC na DED Mliotimuliwa: Kesho Watoto wenu wataenda Shule kama watoto wa Mwananchi wa Kawaida

Nimewaza mengi na kuwaonea huruma. Lkn Cheo ni Dhamana, iwe ulihongwa au ulikipata kwa sifa za kiutendaji, ni DHAMANA

Inawezekana yako mengi katika yaliyofanya hawa watu watimuliwe, lkn Mh. Rais katika maongezi yake liko jambo kubwa kalisema ambalo ndio hasa limeshababisha WANA CCM KURUDISHA KADI ZAO CHAMANI, jambo lenyewe ni HONGO ILIYOPELEKEA KUHAMISHA MRADI KUTOKA ULIPOTAKIWA KUWA NA KUPELEKWA MAHALA PENGINE.

Kimsingi Rais amewatoa kwa sababu za Utovu wa NIDHAMU NA RUSHWA. je ni lini watapelekwa mahakamani?

Huzuni yangu kubwa ni stress ndani ya familia. Waza tu unapata taarifa ya kufukuzwa kazi kwenye watsap group ya MADC wenzako, Classmates wenzako, au group la mtaaani kwako. Usipokuwa makini unaweza kumchukia alieitupia badala ya alie kutengua.

Ushauri, tukiwa na nafasi za kisiasa tuziweke mbali familia zetu. DCs na DEDs mkiteuliwa msihamie na familia zenu kwenye vituo vya kazi. Nendeni wenyewe, mtaziponya na masimango na Huzuni.
Naona unawahurumia CCM
Ungesikia sababu ya kufukuzwa kwao ni kosa la wananchi kurudisha kadi za CCM wala usingeandika hekaya hii.

Wizi na ubadhirifu kwenye miradi ni utamaduni unaolindwa na mamlaka ndo maana CAG naye ni mbadhirifu kwa kutumia fedha za umma kukagua mambo ambayo hayana tija kwa serikali yetu.

Waache wafu wawazike wafu wao
 
Kama walikuwa hawajachukua Chao mapema kama ilivyo kauli mbiu ya siri ya chama
yaani (Chukua Chako Mapema) basi itakuwa ni uzembe wao.
 
Naona unawahurumia CCM
Ungesikia sababu ya kufukuzwa kwao ni kosa la wananchi kurudisha kadi za CCM wala usingeandika hekaya hii.

Wizi na ubadhirifu kwenye miradi ni utamaduni unaolindwa na mamlaka ndo maana CAG naye ni mbadhirifu kwa kutumia fedha za umma kukagua mambo ambayo hayana tija kwa serikali yetu.

Waache wafu wawazike wafu wao
Kwani familia zao hazihitaji huruma? Kwanini unakuwa mkatili kiasi hiki?
 
DED ni permanent and pensionable!

Anaondoka na LSSE 3,400,000/= aliyokuwa nayo kuelekea RS mtwara au utumishi watakakompangia kuingana na taaluma yake.




Kimbembe ni Kwa DC, atapewa 40% ya mishahara yake yote kama pension Kisha wanatemana nae, kama alikuwa mtumishi wa umma kabla ya udc atenda kuomba kuresume alikotoka kama kutakuwa na nafasi.


Kufanya kazi serikalini ni uhakika wa kustaafu.


Kutumbuliwa ni uhamisho.
Duuuh [emoji134]
 
Naona unawahurumia CCM
Ungesikia sababu ya kufukuzwa kwao ni kosa la wananchi kurudisha kadi za CCM wala usingeandika hekaya hii.

Wizi na ubadhirifu kwenye miradi ni utamaduni unaolindwa na mamlaka ndo maana CAG naye ni mbadhirifu kwa kutumia fedha za umma kukagua mambo ambayo hayana tija kwa serikali yetu.

Waache wafu wawazike wafu wao
Huko Mbeya Mhe rais kasema kuna upigaji wa hatari
 
Kwani familia zao hazihitaji huruma? Kwanini unakuwa mkatili kiasi hiki?
Wao ndiyo vinara wa kuhurumia familia zao kwa kujiepusha na matendo yanayokiuka maafili ya utumishi wa umma.

Nasemaaa
Nasemaaa, maDC wapewe kinga ya kushtakiwa🤣
 
Nimewaza mengi na kuwaonea huruma. Lkn Cheo ni Dhamana, iwe ulihongwa au ulikipata kwa sifa za kiutendaji, ni DHAMANA

Inawezekana yako mengi katika yaliyofanya hawa watu watimuliwe, lkn Mh. Rais katika maongezi yake liko jambo kubwa kalisema ambalo ndio hasa limeshababisha WANA CCM KURUDISHA KADI ZAO CHAMANI, jambo lenyewe ni HONGO ILIYOPELEKEA KUHAMISHA MRADI KUTOKA ULIPOTAKIWA KUWA NA KUPELEKWA MAHALA PENGINE.

Kimsingi Rais amewatoa kwa sababu za Utovu wa NIDHAMU NA RUSHWA. je ni lini watapelekwa mahakamani?

Huzuni yangu kubwa ni stress ndani ya familia. Waza tu unapata taarifa ya kufukuzwa kazi kwenye watsap group ya MADC wenzako, Classmates wenzako, au group la mtaaani kwako. Usipokuwa makini unaweza kumchukia alieitupia badala ya alie kutengua.

Ushauri, tukiwa na nafasi za kisiasa tuziweke mbali familia zetu. DCs na DEDs mkiteuliwa msihamie na familia zenu kwenye vituo vya kazi. Nendeni wenyewe, mtaziponya na masimango na Huzuni.
Kila muajiriwa iwe ya kudahiliwa au ya kuteuliwa wasiwe wanatumbuliwa bila utatibu. Anayetuhumiwa apewe haki ya kusikilizwa ili kuzuia huu uonevu.
 
Nimpe big up Mh Rais kwa maamuzi hayo mazuri,DC huyo mpuuzi sana kazingua sana toka akiwa Uvinza hata kusababisha vifo na migogoro mikubwa kati ya wakulima na wafugaji yeye alikuwa anataka chake tu na apekuliwe ac zake
Ndio tabia zake hizi kumbe?
 
DED ni permanent and pensionable!

Anaondoka na LSSE 3,400,000/= aliyokuwa nayo kuelekea RS mtwara au utumishi watakakompangia kuingana na taaluma yake.




Kimbembe ni Kwa DC, atapewa 40% ya mishahara yake yote kama pension Kisha wanatemana nae, kama alikuwa mtumishi wa umma kabla ya udc atenda kuomba kuresume alikotoka kama kutakuwa na nafasi.


Kufanya kazi serikalini ni uhakika wa kustaafu.


Kutumbuliwa ni uhamisho.
Hiyo 40% ni kwaajili ya miaka mingapi?
 
Hahaha hivi kweli unaamini Kuwa hawana Mabiashara makubwa tu na vyanzo vizuri tu vya mapato kipindi chote hicho walichokua wanachukua mishahara mizuri
 
Nimewaza mengi na kuwaonea huruma. Lkn Cheo ni Dhamana, iwe ulihongwa au ulikipata kwa sifa za kiutendaji, ni DHAMANA

Inawezekana yako mengi katika yaliyofanya hawa watu watimuliwe, lkn Mh. Rais katika maongezi yake liko jambo kubwa kalisema ambalo ndio hasa limeshababisha WANA CCM KURUDISHA KADI ZAO CHAMANI, jambo lenyewe ni HONGO ILIYOPELEKEA KUHAMISHA MRADI KUTOKA ULIPOTAKIWA KUWA NA KUPELEKWA MAHALA PENGINE.

Kimsingi Rais amewatoa kwa sababu za Utovu wa NIDHAMU NA RUSHWA. je ni lini watapelekwa mahakamani?

Huzuni yangu kubwa ni stress ndani ya familia. Waza tu unapata taarifa ya kufukuzwa kazi kwenye watsap group ya MADC wenzako, Classmates wenzako, au group la mtaaani kwako. Usipokuwa makini unaweza kumchukia alieitupia badala ya alie kutengua.

Ushauri, tukiwa na nafasi za kisiasa tuziweke mbali familia zetu. DCs na DEDs mkiteuliwa msihamie na familia zenu kwenye vituo vya kazi. Nendeni wenyewe, mtaziponya na masimango na Huzuni.
Mban vitu vya kawaida hvyo alfu unaonekana ujui vitu

HV ushawi kusikia balozi anasomeshewa had watoto
 
Waluambiwa wake Kwa urefu wa kamba zao, DC kakata kamba anakula Zaidi
 
Wametimliwa UDC sjui na unini Afu wamerudi kwenye majukumu yao ya zamani, kama alikuwa dr, teacher, engineer si wanarudi kwenye nafasi zao before wakue those kind things ama?
 
Back
Top Bottom