Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

Mtu anapoajiriwa sehemu fulani anakuwa amejitoa kufanya kazi na nguvu na muda wake vinaelekezwa kwenye kazi. Mategemeo ni kuwa atapata kipato cha kutosha kuendesha maisha yake yaani kipato kinachotosha kwenye "basic needs zake" kwa ngazi yake. Lakini mara nyingi mambo hayako hivyo hasa katika nchi zetu. Katika nchi zetu kipata kinakaribia (note the word kinakaribia) kutosha basic kwa watu wa ngazi za juu. Siyo rahisi mtu kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Huwezi ukawa mtumishi full time na mfanya biashara full time. Pia haiwezekani TZ kila mtu akawa mfanya biashara. Tukiwa wote wafanya biashara wanunuzi watakuwa wake na nani. Hata kwenye nchi za wenzetu, majority ya watu ni wafanya kazi wa sekta mbalimbali. Wachache ni wafanya biashara. Ebu fikiria ofisi zote za halmashauri kila mtu ni mfanya biashara/mkulima. Wakiwa kwenye biashara huduma atatoa nani? Pia nimesoma watu wengi wakiongelea kupata kazi zenye maslahi kama vile uwezekano au urahisi wa kupata pesa za kuiba, kuhongwa, au illegal earnings. Kila mtu akilenga kupata kazi palipo rahisi kuiba tutajenga taifa gani? Inabidi tukazanie maboroshe ya mishahara kuliko hizi ndoto za kupata pesa kimkato. Mimi huwa nawashangaa wanaoponda walimu. Ni kweli mimi nilichukia saana ualimu. Nilipokuwa secondary na high school sikutaka kusikia kitu ualimu. Nilipoenda chuo nilichukuwa fani nyingine na baada kupata digrii niliajiriwa na wizara idara fulani. Kufika huko tulikuwa vijana sita, idara ilikuwa haina mtumishi wa diploma au digrii. Hapo idarani tulikaa muda mfupi wote tukaondolewa kwenda chuo cha idara kufundisha, cha ajabu tangu wakati huo sijawahi kufanya kazi nyingine zaidi ya kufundisha! Baadaye niliipenda hii kazi kwa sababu marupurupu yake halali unajitafutia (research projects & consulting) unajitafutia mwenyewe na zinalipa kuliko kungoja mwanya wa kukwanguwa (kuiba) na ukishikwa. unaozea jela.
mkuu umeongea fact tupu
 
Mtu anapoajiriwa sehemu fulani anakuwa amejitoa kufanya kazi na nguvu na muda wake vinaelekezwa kwenye kazi. Mategemeo ni kuwa atapata kipato cha kutosha kuendesha maisha yake yaani kipato kinachotosha kwenye "basic needs zake" kwa ngazi yake. Lakini mara nyingi mambo hayako hivyo hasa katika nchi zetu. Katika nchi zetu kipata kinakaribia (note the word kinakaribia) kutosha basic kwa watu wa ngazi za juu. Siyo rahisi mtu kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Huwezi ukawa mtumishi full time na mfanya biashara full time. Pia haiwezekani TZ kila mtu akawa mfanya biashara. Tukiwa wote wafanya biashara wanunuzi watakuwa wake na nani. Hata kwenye nchi za wenzetu, majority ya watu ni wafanya kazi wa sekta mbalimbali. Wachache ni wafanya biashara. Ebu fikiria ofisi zote za halmashauri kila mtu ni mfanya biashara/mkulima. Wakiwa kwenye biashara huduma atatoa nani? Pia nimesoma watu wengi wakiongelea kupata kazi zenye maslahi kama vile uwezekano au urahisi wa kupata pesa za kuiba, kuhongwa, au illegal earnings. Kila mtu akilenga kupata kazi palipo rahisi kuiba tutajenga taifa gani? Inabidi tukazanie maboroshe ya mishahara kuliko hizi ndoto za kupata pesa kimkato. Mimi huwa nawashangaa wanaoponda walimu. Ni kweli mimi nilichukia saana ualimu. Nilipokuwa secondary na high school sikutaka kusikia kitu ualimu. Nilipoenda chuo nilichukuwa fani nyingine na baada kupata digrii niliajiriwa na wizara idara fulani. Kufika huko tulikuwa vijana sita, idara ilikuwa haina mtumishi wa diploma au digrii. Hapo idarani tulikaa muda mfupi wote tukaondolewa kwenda chuo cha idara kufundisha, cha ajabu tangu wakati huo sijawahi kufanya kazi nyingine zaidi ya kufundisha! Baadaye niliipenda hii kazi kwa sababu marupurupu yake halali unajitafutia (research projects & consulting) unajitafutia mwenyewe na zinalipa kuliko kungoja mwanya wa kukwanguwa (kuiba) na ukishikwa. unaozea jela.
Kumbe kuandika machapisho kunalipa sana mkuu, chapisho moja ni bei gani?
 
Hawa jamaa wa TGS.C na TGS.D wana msongo sana wa mawazo ndio maana wana hasira sana hata huduma zao ni za hovyo wameandamwa na stress na madeni
Kwa hali ya sasa ya maisha na mfumuko wa bei mshahara hautakiwi kupungua 2M kama take home. Kiukweli unaweza uka save na kufanya mambo mawili matatu kwa ajili ya familia.

Ningekuwa Raisi ningeweka huo mfumo kada ya chini kabisa walipwe 2M kwa standard ya maisha ya sasa.Tatizo hatuna wafanya tathmini mishahara inalipwa ilimradi tu.

Sema baada ya hapo ningeweka strict controls za kazi na ufisadi. Ukikamatwa umeenda na maji.
 
Kwa hali ya sasa ya maisha na mfumuko wa bei mshahara hautakiwi kupungua 2M kama take home. Kiukweli unaweza uka save na kufanya mambo mawili matatu kwa ajili ya familia.

Ningekuwa Raisi ningeweka huo mfumo kada ya chini kabisa walipwe 2M kwa standard ya maisha ya sasa.Tatizo hatuna wafanya tathmini mishahara inalipwa ilimradi tu.

Sema baada ya hapo ningeweka strict controls za kazi na ufisadi. Ukikamatwa umeenda na maji.
Mishahara haiendani na uhalisia wa gharama za maisha

Hii mishahara inawafanya watumishi wengi wapoteze hata morale ya kazi

Mfano kama hawa wa TGS.D (765,000) wakikopa benki milioni 12 tu baada ya makato ya benki na mengine wanabakia na mshahara wa 300k

Imagine miaka 3.5 analipwa 300k ili amalize mkopo wa 12mln

Hiyo 12mln ya mkopo kaishia kununua kiwanja tu

Bado hajakopa ya kuanza ujenzi kmmmk
 
Kwa hali ya sasa ya maisha na mfumuko wa bei mshahara hautakiwi kupungua 2M kama take home. Kiukweli unaweza uka save na kufanya mambo mawili matatu kwa ajili ya familia.

Ningekuwa Raisi ningeweka huo mfumo kada ya chini kabisa walipwe 2M kwa standard ya maisha ya sasa.Tatizo hatuna wafanya tathmini mishahara inalipwa ilimradi tu.

Sema baada ya hapo ningeweka strict controls za kazi na ufisadi. Ukikamatwa umeenda na maji.
Shida, Rais gani anaweza fanya hvyo!!
 
Ualimu ana tgts ipi na uafisa usafiri tgs c1 Kwa dip!

Atapata chenji ya mafuta ya misiba, misafara ya mwenge na mitihani.
Atashirikiana na wauza mafuta kuandika Lita hewa.
Atakuja kuwa mchepuko wa dereva wa mkurugenzi au dt
Noma sanaaa .......watu wamekulana kimasihara huko
 
Halmashauri YENU tu ndio mna madeni ila Kuna halmashauri nyingine watu wanapeta tu
 
Inategemea na Halmashauri ipi inafanya kaz maana kuna Halmashauri nyngne Watumishi zao wana maisha mazuri kwa sababu wanakudanya mapato mengi mno
 
Back
Top Bottom