Poleni sana wote mliopata majanga kwenye ajali ya mabasi ya Premier na Kapricon

Poleni sana wote mliopata majanga kwenye ajali ya mabasi ya Premier na Kapricon

Mpenda vurugu

Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
98
Reaction score
621
Imetokea mbeya asubuhi hii

Watu watatu wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili ya Kampuni ya premier na capricorn ajali imetokea Kata ya Ilomba jijini Mbeya

Kwa Mujibu wa Mkaguzi wa jeshi la zimamoto na Uokoaji Musa Meshack Nyagali amesema kuwa Jeshi hilo limefanikiwa kuwaokoa majeruhi watatu ambao wamekimbizwa hospitali.

FB_IMG_1728281947830.jpg

 
TAARIFA haijakamilika mkuu imetokea maeneo Gani? Kwa ninavyofahamu Kaprikoni inafanya safari za kutoka Mbeya kwenda Arusha na hiyo Premier inasafiri toka Mbeya kwenda MWANZA.
 
TAARIFA haijakamilika mkuu imetokea maeneo Gani? Kwa ninavyofahamu Kaprikoni inafanya safari za kutoka Mbeya kwenda Arusha na hiyo Premier inasafiri toka Mbeya kwenda MWANZA.
Ilomba mbeya
 
Barabara Mbeya mjini ni nyembamba sana na imejaa foleni

Yaani ni risk sana hata kutembea pembezoni mwa barabara.

.....
Kapricon tena
Hatari sana
Na wale wanaojenga hii barabara wamefunga mikamba yao ile pembeni, barabara imekuwa nyembamba sana. inahitaji umakini sana, mwezi uliopita boda boda kadead kwa kugongwa na gari hapo kituo cha daladala kilimo, tena akiwa site yake. Mshenzi yule dereva wa basi na haraka zake akaovertkae bila kuangalia, boda hana pa kuchochora.
 
Barabara Mbeya mjini ni nyembamba sana na imejaa foleni

Yaani ni risk sana hata kutembea pembezoni mwa barabara.

.....
Kapricon tena
Hatari sana
Naona inapanuliwa lakini kwa mwendo wa kinyonga sijui shida nini.
 
Imetokea mbeya asubuhi hii
Watu watatu wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili ya Kampuni ya premier na capricorn ajali imetokea Kata ya Ilomba jijini Mbeya

Kwa Mujibu wa Mkaguzi wa jeshi la zimamoto na Uokoaji Musa Meshack Nyagali amesema kuwa Jeshi hilo limefanikiwa kuwaokoa majeruhi watatu ambao wamekimbizwa hospitali.

View attachment 3117441
Hao madereva nao walikuwa wanakimbilia wapi au wanakwepa nini wakati hapo ni mjini kabisa walipaswa kuwa na mwendo mdogo?
 
Sadaka za maboss kufunga mwaka zimeaza Tayari 😁😁😁😁
 
Na wale wanaojenga hii barabara wamefunga mikamba yao ile pembeni, barabara imekuwa nyembamba sana. inahitaji umakini sana, mwezi uliopita boda boda kadead kwa kugongwa na gari hapo kituo cha daladala kilimo, tena akiwa site yake. Mshenzi yule dereva wa basi na haraka zake akaovertkae bila kuangalia, boda hana pa kuchochora.
Mikamba ile ndio imeongeza shida
Bora ingebaki vilevile tu aisee
Barabara imekuwa ndogo mno hata pa kuchepuka hakuna.

Hii barabara inakera haswaa.
 
Back
Top Bottom