Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hakuna siti ambayo ni salamabado mnasema seat za mbele ni salama
Ajali ni ajali tu
Na yeyote anaweza kufa,haijalishi umekaa siti gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna siti ambayo ni salamabado mnasema seat za mbele ni salama
Kwakuwa Kayarama hajakuwa na rekodi ya ajali basi akikosea aachwe eti Mkuu?Wenye kuwachuria katarama wako wapi?
wanton6, Mzee wa kupambania, New City, latra huko tumesalimika ndugu zangu?
Ajali hazina mwenyewe, poleni wahanga Mola awafanyie wepesi.
Wameshaanza ujenzi toka week iliopita na wanafanya kazi hadi usiku wale wanao mwaga vifusiImesimama Mkuu
Walianza Kwa mbwembwe lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea ni miezi kadhaa sasa
Na Tetesi ni kwamba mkandarasi hajapewa mpunga.
Bora hioo ni pana kuna hii ya kutoka 88 kuja mpaka mwisho wa mji uyole aisee ile ndo nyembamba mno hata pa kutembea kwa mguu hapapoUnaweza kuona namna gani njia ilivyo nyembamba
Yaani ni risk sana
Tunajilipua hivyohivyo kutembea Kwa miguu pembeni mwa barabara.
Kama ni kweli basi ni heriWameshaanza ujenzi toka week iliopita na wanafanya kazi hadi usiku wale wanao mwaga vifusi
Bahati mbaya wamiliki ndio wanawataka madereva wa aina hio chief cha kwanza kipaumbele chao ni mwendo wa haraka pasi na kujali usalama wowote.Wamiliki kuweni makini na madereva wenu.
Mkuu hii ni balaa zaidi maana ni kushukia MbaliziBora hioo ni pana kuna hii ya kutoka 88 kuja mpaka mwisho wa mji uyole aisee ile ndo nyembamba mno hata pa kutembea kwa mguu hapapo
Mbeya ilisahaurika sana bara bara hata za mtaani tu ni tatizo tunakwenda katika msimu wa mvua ni shida.Pole zaoo
Ilikuwa imetoka Sumbawanga?Kuna ajari nyingine imetokea chipaka ukiwa unatoka tunduma ikihusisha bus la kampuni ya new force,,, hiyo kapricon mwezi uliopita ili lala chali mlima nyoka.
Kwani kuna mtu kafarikii kwenye hiyo ajali ??🤔🤔Mbeya ilisahaurika sana bara bara hata za mtaani tu ni tatizo tunakwenda katika msimu wa mvua ni shida.
Ni kweli iyo picha ni kuelekea daraja la treni pale mbalizi kiufupi tuseme mbeya bara bara hakuna kama huo mteremko ajri nzito nzito ndo zinatikea apo ukisikia ajari we jua hajatoka mtuMkuu hii ni balaa zaidi maana ni kushukia Mbalizi
Ni balaa..halafu mteremkoni...chini kidogo huko kuna korongo.
Heri Uyole tambarale
Itakua ilitokea tundumaIlikuwa imetoka Sumbawanga?
Bado taarifa ni za awali mkuuKwani kuna mtu kafarikii kwenye hiyo ajali ??🤔🤔
Hela zake zilienda kugharamia kuzuia maandamano ya Chadema, avumilie tu tumeagiza polisi wakusanye fedha kwa kutoza watu fine za barabarani kwa wingiImesimama Mkuu
Walianza Kwa mbwembwe lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea ni miezi kadhaa sasa
Na Tetesi ni kwamba mkandarasi hajapewa mpunga.
Hatuongelei kutokufaHakuna siti ambayo ni salama
Ajali ni ajali tu
Na yeyote anaweza kufa,haijalishi umekaa siti gani.
Kwa kweliNi kweli iyo picha ni kuelekea daraja la treni pale mbalizi kiufupi tuseme mbeya bara bara hakuna kama huo mteremko ajri nzito nzito ndo zinatikea apo ukisikia ajari we jua hajatoka mtu