Ebu achenu u.ji.nga PolepOle yupi?... huyu huyu Pole Pole wa ovyo, ndio mnataka aingie kwenye Baraza?...
Yeye na Bashiru wale ela tu za bure hii miaka 5. Ndio mwisho wao wa kisiasa. We will Never see or hear them after 2025...
Nasikia anataka jimbo la Segerea. Haibu ambayo atapata itakuwa ya karne
Yaliyopita yamepita, kama alikosea awali kimya kimya, tukaona matokeo ya makosa yake, na sasa kimya kimya amerejea kwenye mstari wake wa awali na kwa macho tunaona, kwa nini tumhukumu mtu aliyeamua kuwa upande wa binadamu? Tuangalieni namna anavyotufaa sasa na baadaye.Hembu tujaribu kuangalia haya maswala kwa picha kubwa zaidi, mtu kwenda kwenye media.na kuanza kutoa maneno mazuri ya mashiko mara moja au mbili yasi badili mawazo yetu huyu jamaa alitoka wapi? Je alikuja kuwa nani? Alipo kuwa nani alifanya nini? Na je sasahivi yuko wapi ? Nani kwanini yupo hapo sasahivi?...
Mara nyingi "wazalendo" dizaini ya Polepole hufaga kwa kukosa maarifa!Mheshimiwa pole pole amenena yaliyokuwa moyoni mwangu. Watanzania tumfuate huyu ndugu. Anatuelekeza mahala sahihi. Natamani aingie kwenye baraza la mawaziri. Huyu ni mzalendo.
Kwaiyo hayo yote kisa tu kashauri kijengwe kiwanda ambacho kitadili na masuala ya utafiti wa dawa za asili ili kujitegemea kwenye masuala ya tiba na kinga?Hembu tujaribu kuangalia haya maswala kwa picha kubwa zaidi, mtu kwenda kwenye media.na kuanza kutoa maneno mazuri ya mashiko mara moja au mbili yasi badili mawazo yetu huyu jamaa alitoka wapi?...
Masalia ya mwendazakeUnamaanisha apewe shukran kwa kuwawezesha mawaziri kurudi bungeni.
Kabla hajauliwa, atakuwa ameokoa sana taifa. Na yamkini wauaji wakatangulia, kabla yake. who knows? Ujue kila mtu atakufa.Mara nyingi "wazalendo" dizaini ya Polepole hufaga kwa kukosa maarifa!
hivi mna uhakika huyu ana akili yimamu kweli ana hana fie mirembe?Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.
Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.
"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole
ndio alivyo..Kipindi cha mwandazake tulidhani anajifanyisha kuigiza uhayawani ili apate yake liziki, lakini inawezekana kabisa kuwa polepole ni mbumbumbu tu kama mbumbumbu wengine.
Acha ujinga wa kutokufikilia nje ya box. Global ni nani? Tukitengeneza dawa, haitakwenda kwenye global market? Fikra tegemezi.Polepole Corona is not a local problem, wake up, it's a global problem, and therefore it must be solved globally.
Ww ndiyo shallow understander. Amekuambia kwamba wasifahamu? Amesema tutahujumiwa. Ni suala la usalama kwamba ninyi madalali wa chanjo, msije mkahujumu juhudi zetu kwa hizo commission zenu!. Tamaa zenu na ubinafsi, msizitumie kumtukana Polepole.Unaweza kuficha kiwanda mbali mabeberu washindwe kufika!!
Iran wana kiwanda cha nuclear wamekificha lakini mabeberu wanafahamu.
Huyu Polepole mweupe sana, bora aendelee kukaa kimya siku iingie
Wazalendo wenye maarifa hudumu. Wasio na maarifa hufa. Siyo mimi ninayesema hivyo, ni maandiko ndiyo yanasema hivyo!Kabla hajauliwa, atakuwa ameokoa sana taifa. Na yamkini wauaji wakatangulia, kabla yake. who knows? Ujue kila mtu atakufa.
Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM...
Kabla hajauliwa, atakuwa ameokoa sana taifa. Na yamkini wauaji wakatangulia, kabla yake. who knows? Ujue kila mtu atakufa.
Hata Bibi Samia mwenyewe hawezi kamwe kudungwa hayo machanjo yenye sumu.Serikali tuleeni chanjo, sisi tunaotaka tuchanje asiyetaka aache
Katika maisha ya mwanadamu ukishaitwa mwizi hilo jina halitafutika milele hata kama utaenda kutubu na kuacha wizi hilo jina halitafutika,chuki,roho mbaya na kutopendana katika maisha yetu ndo kinachotawala na sijui kama hivi vyote vinasaidia au vinafaida,uzima wa mtu kichwani anaujua Mungu na si mwanadamu.sidhani kama huyu mtu ni mzima kichwani.
Aliwachelewesha wewe na nani?Haka kazee soon katakuwa kachawi tu .kenyewe na yule hamnazo na bashiru vimetuchelewesha sana
Hahahaha 😂😂. Mkuu umenifurahisha hapo kwenye maboga.Mkuu hawa niwanufaika kwa njia moja ama nyingine... Yaan wao ujanja ni kuvaa barakoa kwa ajr ya matangazo... Kudungwa sindano et Kinga.. jaman.. yaan hawasikii Wala hawaon. Wanamacho ila hawaoni wanamasikio ila hawasikii.. wanavichwa ila utafikir wanamaboga tu kichwan.. niwakuhurumiwa hai..