Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Mawazo ya huyu mtu ni ya kijinga kabisa. Ni aheri angekaa kimya, watu wasingejua kilichomo kichwani mwake.
Ni nani akahujumu kiwanda cha kutengeneza juice zitokanazo na mimea? Kama kweli tuna dawa ya kutibu corona, kwa nini tusiweke wazi ili zifanyiwe majaribio na vyombo vinavyotambulika kimataifa?
Tunatumia dawa ngapi zilizogundulika katika mataifa mengine, halafu leo tumepata juice inayompa unafuu mgonjwa wa corona, tunasema tukaifiche!! Hopeless kabisa. Huyu hata kwenye huo ubunge wangemwondoa tu, hayupo sawasawa.
Ni nani akahujumu kiwanda cha kutengeneza juice zitokanazo na mimea? Kama kweli tuna dawa ya kutibu corona, kwa nini tusiweke wazi ili zifanyiwe majaribio na vyombo vinavyotambulika kimataifa?
Tunatumia dawa ngapi zilizogundulika katika mataifa mengine, halafu leo tumepata juice inayompa unafuu mgonjwa wa corona, tunasema tukaifiche!! Hopeless kabisa. Huyu hata kwenye huo ubunge wangemwondoa tu, hayupo sawasawa.