Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bulembo aliuza Shule ya Jumuia Magufuli akairudisha Mzee asifikiri Machafu yake hayajulikaniKupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli.
"...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.