CCM ina aminika kwa nani?!Unaacha Kuwaambia CHADEMA wako (hasa Kurugenzi yenu ya Habari) nao Wawe Wabunifu kama Wenzao wa CCM kwa kutumia kila Fursa katika Kujitangaza na kujiweka karibu hasa Kiimani na Kiitikadi za Kisiasa Wewe kilichopo Akilini mwako ni Majungu na Lawama tu pekee. Na ni Ubunifu kama huu anaofanya sana Polepole ndiyo unaing'arisha zaidi CCM na Kuaminika kwa Watu huku nyie mkilia lia kama 'Wehu' fulani vile.
Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.CCM ina aminika kwa nani?!
Watanzania wote!CCM ina aminika kwa nani?!
Umekufuru vibaya mno, hujui usemalo, usamehewe bure.Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Sasa mbona wengine bado mnawanunua mpaka leo?!Watanzania wote!
Toa mfano na weka ushahidi!Sasa mbona wengine bado mnawanunua mpaka leo?!
CCM haijawahi kunga'ara na kuaminika. Kama ingekuwa inang'ara na kuaminika, mabegi meusi yaliyojazwa kura feki za jiwe na CCM yake kwann yalitapakaa nchi nzima siku ya kupiga kura?Na ni Ubunifu kama huu anaofanya sana Polepole ndiyo unaing'arisha zaidi CCM na Kuaminika
2025 watabeba tena mabegi meusi yenye kura fekiHizo kazi zenyewe kila wakati wanajisifu kuzichapa mbona hatuoni positive outcome kwa raia wa kawaida?!
Wanadhani kuongea sana na kuteka vyombo vyote vya habari ndio maendeleo ya nchi, wacha waendelee kujidanganya, wanajua fika hao watazamaji wameshawachoka.
Namkumbuka aliekuwa Meya Iringa Mjini, Kimbu; mlimtongoza mpaka mkaishiwa "sound" mkaamua kumtoa kwa nguvu.Toa mfano na weka ushahidi!