- Thread starter
- #121
Ndiyo udikteta wenyewe huu.Umekariri maisha na hapa ndipo tulipofika,unakunywa chai ofisini Hadi saa4,unakwenda lunch Hadi saa 9,ukifika saa Tisa na nusu tu haupo
Kazi ya serikali no saa24,ofisi ndio Ina muda wa kufunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo udikteta wenyewe huu.Umekariri maisha na hapa ndipo tulipofika,unakunywa chai ofisini Hadi saa4,unakwenda lunch Hadi saa 9,ukifika saa Tisa na nusu tu haupo
Kazi ya serikali no saa24,ofisi ndio Ina muda wa kufunga
Ngoma droo.. na yeye si anakukaza hapo ulipo..Nipo pamoja na 'anayekukaza' 24/7.
Pambana Mkuu! Iko siku itaongezeka 😀Hahaha sikutegemea hiyo sentensi itaisha hivyo dah!
Nimejifunza kitu. Napamana kwa ajili ya my family of 1
Masaa ya kazi yamewekwa kwa maana maalum. Ikiwa tunaona hayatoshi basi tubadilishe kwa utaratibu. Laa sivyo huo ni utumwa.Nadhani na yeye ana familia. Ni vyema kuwa na moyo wa kujitolea kwa manufaa ya taifa. Tuwaombee wasichoke.
CCM haijawahi kunga'ara na kuaminika. Kama ingekuwa inang'ara na kuaminika, mabegi meusi yaliyojazwa kura feki za jiwe na CCM yake kwann yalitapakaa nchi nzima siku ya kupiga kura?
Ivi kumbe bado ni katibu mwenezi?Katibu mwenezi wa CCM na Mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubashara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi.
Yaani anataka mambo ya kiofisi (ya kikazi) yatolewe ufafanuzi muda wa kukaa na familia ama kustarehe.
Anachokifanya mhe Polepole siyo udikteta?
Mbona anakiuka sheria na taratibu za kazi?
Watendaji wakitoa takwimu ama taarifa zinazokinzana watalaumiwa?
Wakigoma kupokea simu watendaji hawa watalaumiwa?
Dunia ya sas ni ya kazi tena tunapaswa kua field 24 hours ili walau tufike pahalaKatibu mwenezi wa CCM na Mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubashara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi.
Yaani anataka mambo ya kiofisi (ya kikazi) yatolewe ufafanuzi muda wa kukaa na familia ama kustarehe.
Anachokifanya mhe Polepole siyo udikteta?
Mbona anakiuka sheria na taratibu za kazi?
Watendaji wakitoa takwimu ama taarifa zinazokinzana watalaumiwa?
Wakigoma kupokea simu watendaji hawa watalaumiwa?
Ukishakua katika nafasi serikalini muda wowote upo kazini ukiacha yale masaa nane rasmi , ndiyo kulitumikia taifa hivyo, sijaona kosa hapoKatibu mwenezi wa CCM na Mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubashara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi.
Yaani anataka mambo ya kiofisi (ya kikazi) yatolewe ufafanuzi muda wa kukaa na familia ama kustarehe.
Anachokifanya mhe Polepole siyo udikteta?
Mbona anakiuka sheria na taratibu za kazi?
Watendaji wakitoa takwimu ama taarifa zinazokinzana watalaumiwa?
Wakigoma kupokea simu watendaji hawa watalaumiwa?
Ndugu yangu acha banah, kuna vichwa havifuati sheria za kazi, kwani kumpokelea simu na kumuitikia kuna shida gani, kuna mambo ni heri ujifanye mjinga kuliko ujuaji na ukapoteza ugaliWapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Ni kazi kazi, utapumzika ukistaafuKatibu mwenezi wa CCM na Mbunge wa kuteuliwa anaendesha kipindi mubashara cha "Papo Kwa Papo" saa 3 usiku lkn anawapigia simu watendaji wa serikali akitaka watolee ufafanuzi baadhi ya kero za wananchi.
Yaani anataka mambo ya kiofisi (ya kikazi) yatolewe ufafanuzi muda wa kukaa na familia ama kustarehe.
Anachokifanya mhe Polepole siyo udikteta?
Mbona anakiuka sheria na taratibu za kazi?
Watendaji wakitoa takwimu ama taarifa zinazokinzana watalaumiwa?
Wakigoma kupokea simu watendaji hawa watalaumiwa?
Mbona raha zipoNi kazi mbele kwa mbele hadi kufikia maendeleo yaliyoahidiwa. Mwaka huu hakuna atakayepata raha