Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kile katikati ya miguu.Hahaaaa hivi wanalumumba mnatumiaga kiungo gani kufikiria??
Hivi mkuu, na wewe upo kwenye kundi la wenye akili??Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Bado ana kofia 2. Jiwe alitudanganya kwamba serikali yake itakuwa mtu 1 kofia 1. Lkn Kijazi wa TANAPA na Hassan Abbas pamoja na huyu chakubanga Wana kofia 2Hiv bado ana nafasi ya katibu mwenezi au tayari ni mbunge.Mbunge kumpigia mtendaji usiku ni ukiukwaji wa haki za kiajira. shughuli zote za serikali mwisho saa 12 jioni,isipokuwa zile za ulinzi na usalama wa maisha na mali za raia
Kwa sheria gani?Mtumishi wa umma anatakiwa awe tayari kufanya kazi any time.
Hijui?Kwa sheria gani?
Bado ni katibu mwenezi lakini haimpi mandate hiyo.Labda Polepole bado a nafikiri yeye ni Katibu mwenezi wa CCM.....!!
Wapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Hahaha sikutegemea hiyo sentensi itaisha hivyo dah!Hakuna kitu muhimu hapa duniani kama familia yako! Kila kitu tunachokifanya ni kwaajili ya familia. Hata kama hiyo familia ina mtu mmoja tu _ Wewe!
Au kutokupokea kabisaWapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Acha kuwaingiza Yesu Kristu, Mama yake Maria na Malaika wa Mungu kwenye list moja na ma PopomaMwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Nipo pamoja na 'anayekukaza' 24/7.Hivi mkuu, na wewe upo kwenye kundi la wenye akili??
Salaaleee Dunia ina mambo!
[emoji23][emoji23][emoji23]Labda waliopigiwa simu hawana familia na hua hawali Bata.
Uchizi uanza taratibu kama hivi. Normal psychology to abnormal psychology (psychiatry) Kama sio kusaka uteuzi hatunawe. Hii wiki unaehuka bila mwezi mchanga. Aliyaweza Nchemba na korona. Hakuna kutangaza vifo. Havitangazwi.Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
KIBARUA KITAKUWA MASHAKANIWapumbavu ni hao watendaji. Kwani ukimkatia simu atakufanyaje?
Umekariri maisha na hapa ndipo tulipofika,unakunywa chai ofisini Hadi saa4,unakwenda lunch Hadi saa 9,ukifika saa Tisa na nusu tu haupozinazokinzana watalaumiwa?
Wakigoma kupokea simu watendaji hawa watalaumiwa?