Polepole fuata sheria za kazi, saa 3 usiku siyo muda wa kazi

Polepole fuata sheria za kazi, saa 3 usiku siyo muda wa kazi

Wacha wakome siwaliwabia kura hao midukule watu wana mafai milembe eti unakubali wawe raisi wataipata sasa hivi mwendo wa chama kimoja cha mazezeta wataendeshwa kama makalai yakubebea kokoto madiwani wabunge mawaziri wakuu wa mikoa wilaya wote target ni kumdharilisha mfanyakazi hiyo ndio safi
 
Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Hivi mkuu, na wewe upo kwenye kundi la wenye akili??

Salaaleee Dunia ina mambo!
 
Hiv bado ana nafasi ya katibu mwenezi au tayari ni mbunge.Mbunge kumpigia mtendaji usiku ni ukiukwaji wa haki za kiajira. shughuli zote za serikali mwisho saa 12 jioni,isipokuwa zile za ulinzi na usalama wa maisha na mali za raia
Bado ana kofia 2. Jiwe alitudanganya kwamba serikali yake itakuwa mtu 1 kofia 1. Lkn Kijazi wa TANAPA na Hassan Abbas pamoja na huyu chakubanga Wana kofia 2
 
Hakuna kitu muhimu hapa duniani kama familia yako! Kila kitu tunachokifanya ni kwaajili ya familia. Hata kama hiyo familia ina mtu mmoja tu _ Wewe!
Hahaha sikutegemea hiyo sentensi itaisha hivyo dah!

Nimejifunza kitu. Napamana kwa ajili ya my family of 1
 
Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Acha kuwaingiza Yesu Kristu, Mama yake Maria na Malaika wa Mungu kwenye list moja na ma Popoma
 
duh hivi kweli una akili kweli. watu wanatatuliwa matatizo yao wewe unaongea mambo ya watu kupumzika. sasa kipindi ukifanye mchana wakati muhusika labda arakuwa anaudumia wananchi
 
Mm ningekua mtendaji ndio ananipigia kura usiku naweka naweka simu loudspeaker huki nikinyaduana tena nakaza sauti ili tcra nisikie kama wataifungia iyo tv na kipindi tena kipindi ni live
 
Mwenyezi Mungu, Yesu Kristo, Mama Bikira Maria, Malaika Jibril pamoja na Mikaela, Wasomi wote duniani, wenye Akili nyingi na Mimi Mwenyewe.
Uchizi uanza taratibu kama hivi. Normal psychology to abnormal psychology (psychiatry) Kama sio kusaka uteuzi hatunawe. Hii wiki unaehuka bila mwezi mchanga. Aliyaweza Nchemba na korona. Hakuna kutangaza vifo. Havitangazwi.

Kitila Mkumbo akapelekwa Ubungo. Na sasa tunaona ubunifu/ sarakasi za Silou unazosifia. Gobbels alikuwa msomi lakini alitumiwa na Hitler. Mwerevu hujifunza kutokana na makosa ya watu wengine. Kati yenu hakuna mwerevu. Kapu la wapumbavu!
 
Kuna tatizo la msingi haswa kwa mabosi hawa ambao wapo menopouse au wameshafikia menopouse. Nyumbani wako peke yao na hawana cha kufanya hivyo hujifanya kupenda kazi.

Pia wapo mabosi antisocial saana.
 
zinazokinzana watalaumiwa?
Wakigoma kupokea simu watendaji hawa watalaumiwa?
Umekariri maisha na hapa ndipo tulipofika,unakunywa chai ofisini Hadi saa4,unakwenda lunch Hadi saa 9,ukifika saa Tisa na nusu tu haupo
Kazi ya serikali no saa24,ofisi ndio Ina muda wa kufunga
 
Back
Top Bottom