Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Umetafsiri kwa kanuni ya simultaneous equation,itafsri kwa kanuni ya awam kwa hesabu za kitanzania, hasa anaeishi tz, I mean mtanzania.. unaelewaKama kinachozaa awamu ni uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano kwa sasa tuko awamu ya kumi na moja
Acha kumtisha, wako wapi waliokuwa na nguvu zaidi ya yeye. Wamekufa kifo kibaya. Hata awe na ulinzi kiasi gani Mungu akitaka roho yake sekunde tu.Polepole anatakiwa kujua Samia ni Amiri Jeshi Mkuu!
Anaesema hii ni awamu ya Sita ni Rais Samia Mwenyewe! Sasa kama anapinga hii sio awamu ya Sita ajue anapingana na Rais Samia mwenyewe!
Kifupi anatakiwa ajue sonono aliyokuwa nayo juu ya Rais Samia sasa itaenda kumuonesha kuwa Samia ni Rais Kweli na Amiri Jeshi Mkuu
Kuita hii Ni awamu ya sita Ni uzuzu, Ni rais wa sita lakini awamu ya tanoWewe umeona una akili hapo? Kama zimeanza kutumika wakati wa mwinyi mnaitaje ya magufuli ni awamu ya tano badala ya nne?. Awamu zinatajwa kwa kila Rais akipita au kafa na awamu imepita. Ndiyo maana hii inaitwa ya sita kuanzia nyerere mpaka samia
Mkuu miongozo haimtaji mtu kuwa awamu, inataja uchaguzi kuwa awamu, kwa hyo kinachozaa awamu Ni uchaguzi, kwa Sasa tupo awamu ya 5 Ila tuna rais wa 6,
Nyogeza tu kidg, baada ya nyerere aliekaa madarakani miaka 20+ Toka mwaka 1985- Sasa tuna awamu za vipindi vya miaka 5, na kwa rais miaka 10, kwa hyo ingetokea tumefanya uchaguzi, Basi rais angekuwa ktk awam ya 6 Ila kwa Sasa Ni awamu 5 ya kazi iendeleee, Kama unabisha, njoo unipige@drmsukuma
Hukuwahi kusikia wimbo wa John Komba (RIP) akizitaja hizo awamu?Kwani awamu ni nini?
Ulikwishawahi kusikia:
1) Awamu ya Mwalimu Nyerere
Au
2) Awamu ya kwanza, ya Mwalimu Nyerere?
Unaelewa nini?
Katika utawala wa CCM anachosema Rais ndicho kinachokuwa. Ndio sheria. Polepole anajua vizuri sana. Mfano alishuhudia wabunge wa viti maalum wa CHADEMA wakiingizwa bungeni kinyume cha katiba hakuona tabu. Asijifanye hajui chama chake kinavyoongoza nchi.Wakuu,
Mbunge wa kuteuliwa na mtunga Sheria Humphrey Polepole, anadai hii awamu ya rais Samia sio awamu ya sita.
Rais Samia alisema yeye ndiye rais ya awamu ya Sita. Kwamba ni awamu ya sita kipindi cha kwanza.
"Hii serikali sio mpya,haikupigiwa kura, huwezi ukaita awamu ya sita, awamu lazima iwe na miaka10, ilani na Sera zinazopaswa kutekelezwa ni zile tulizozinadi 2020, asiwadanganye mtu kuwa hii ni awamu ya sita,Kwa sababu aliyeondoka ni Magufuli peke yake" kasema polepole.
RAIS SAMIA ANASEMA UFISADI ULIFANYIKA AWAMU ZILIZOPITA SIO AWAMU YAKE YA SITA
"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"
Rais Samia Suluhu akiwa Bandarini.
Je, nani yupo sahihi na Sheria inasemaje?
View attachment 2041066
Hapo sasa..maana Mwalimu alitawaka awamu ya kwanza...Nyerere aliyetawala Tanzania kwa miaka 21 alitawala kwa awamu ngapi?
👍👍Wewe umeona una akili hapo? Kama zimeanza kutumika wakati wa mwinyi mnaitaje ya magufuli ni awamu ya tano badala ya nne?. Awamu zinatajwa kwa kila Rais akipita au kafa na awamu imepita. Ndiyo maana hii inaitwa ya sita kuanzia nyerere mpaka samia
Kwan mkuu kunamahali Samia anawajibika kwa mambo ya JPM??Huwezi kumwajibisha Samia Kwa mambo ya Magu, hata Kama alikuwa makam
Polepole anatakiwa kujua Samia ni Amiri Jeshi Mkuu!
Anaesema hii ni awamu ya Sita ni Rais Samia Mwenyewe! Sasa kama anapinga hii sio awamu ya Sita ajue anapingana na Rais Samia mwenyewe!
Kifupi anatakiwa ajue sonono aliyokuwa nayo juu ya Rais Samia sasa itaenda kumuonesha kuwa Samia ni Rais Kweli na Amiri Jeshi Mkuu
Hata ikiwa ni awamu ya kumi hiyo itatusaidia nini sisi?
Kwangu mimi awamu maana yake ni kipindi cha mtawala akiwa madarakani, na hapa Tz mtawala ni rais.
Rais=awamu
Nyerere (awamu ya kwanza)
Mwinyi (awamu ya pili)
Mkapa (awamu ya tatu)
Kikwete (awamu ya nne)
Magufuli (awamu ya tano)
Samia (awamu ya Sita)
Chakubanga (awamu ya saba?!)[emoji1787]
Hahusiki kivipi akati alikua second in command na kwenye karatasi ya kura tulimchagua? Yeye ndo alipaswa ahusike, kama si yeye basi nani?Ni ya 6 Kwa sababu rais hakuwa Samia; maamuzi alikuwa anafanya mwingine; Samia hausiki kabisa Na Makosa ya awamu ya 5
Kulikuwa hakuna ukomo wa Rais kutawala ,Nyerere aliyetawala Tanzania kwa miaka 21 alitawala kwa awamu ngapi?