Polepole: Hii sio awamu ya Sita bali ni ya Tano kipindi cha pili, aliyeondoka ni Magufuli peke yake

Kama kinachozaa awamu ni uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano kwa sasa tuko awamu ya kumi na moja
Umetafsiri kwa kanuni ya simultaneous equation,itafsri kwa kanuni ya awam kwa hesabu za kitanzania, hasa anaeishi tz, I mean mtanzania.. unaelewa
 
Acha kumtisha, wako wapi waliokuwa na nguvu zaidi ya yeye. Wamekufa kifo kibaya. Hata awe na ulinzi kiasi gani Mungu akitaka roho yake sekunde tu.
 
Wewe umeona una akili hapo? Kama zimeanza kutumika wakati wa mwinyi mnaitaje ya magufuli ni awamu ya tano badala ya nne?. Awamu zinatajwa kwa kila Rais akipita au kafa na awamu imepita. Ndiyo maana hii inaitwa ya sita kuanzia nyerere mpaka samia
Kuita hii Ni awamu ya sita Ni uzuzu, Ni rais wa sita lakini awamu ya tano
 

Huwezi kumwajibisha Samia Kwa mambo ya Magu, hata Kama alikuwa makam
 
Kwani awamu ni nini?

Ulikwishawahi kusikia:

1) Awamu ya Mwalimu Nyerere

Au

2) Awamu ya kwanza, ya Mwalimu Nyerere?

Unaelewa nini?
Hukuwahi kusikia wimbo wa John Komba (RIP) akizitaja hizo awamu?
Unadhani wanaposema awamu ya kwanza wanamaanisha nini?
 
Katika utawala wa CCM anachosema Rais ndicho kinachokuwa. Ndio sheria. Polepole anajua vizuri sana. Mfano alishuhudia wabunge wa viti maalum wa CHADEMA wakiingizwa bungeni kinyume cha katiba hakuona tabu. Asijifanye hajui chama chake kinavyoongoza nchi.
 
Wewe umeona una akili hapo? Kama zimeanza kutumika wakati wa mwinyi mnaitaje ya magufuli ni awamu ya tano badala ya nne?. Awamu zinatajwa kwa kila Rais akipita au kafa na awamu imepita. Ndiyo maana hii inaitwa ya sita kuanzia nyerere mpaka samia
👍👍
 
Amuulize Mbunge wetu wa Kawe!
 
PM amechafuka.....Mama Avunje Bsraza lake lote waanze upya
 
Kama unabisha, njoo unipige@drmsukuma[/QUOTE]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Toa huyo wa Mwisho
 
KWA UELEWA WANGU MIMI NADHANI AWAMU ZINAHESABIKA KWA KUANGALIA IDADI YA MARAIS, KWAMBA RAIS TULIYENAYE NI WA NGAPI TANGU TUMEPATA UHURU. HATUHESABU AWAMU KWA KUTUMIA MAFUNGU YA MIAKA KUMI KUMI, MAANA TUKIFANYA HIVYO HUKO MVELE YA SAFARI BAADA YA MIAKA MINGI LAZIMA TUTACHANGANYA MADESA. NAOMBA MH POLEPOLE ASHAURIWE NA AKUBALIANE NA FACT KWAMBA AWAMU TULIYONAYO NI YA SITA, NA KWAMBA ANATAKIWA AZIDI KUMUOMBEA MAMA, MAMA AZIDI KWENDA KWA KISHINDO KIKUU AKIWA AMEAMBATANA NA BWANA, MITHILI YA BWANA ALIVYOWAHI KWENDA NA WALE WATU WANNE WALIOWAHI KUSABABISHA MAJESHI YA WASHAMI KUIKIMBIA KAMBI YAKE HUKU NYUMA YAKIACHA CHAKULA TELE WAKATI WA NJAA KALI. MUNGU AZIDI KWENDA NA.MAMA KWA KISHINDO KIKUU CHA AINA HIYO, NAMUOMBEA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI!
 
Ni ya 6 Kwa sababu rais hakuwa Samia; maamuzi alikuwa anafanya mwingine; Samia hausiki kabisa Na Makosa ya awamu ya 5
Hahusiki kivipi akati alikua second in command na kwenye karatasi ya kura tulimchagua? Yeye ndo alipaswa ahusike, kama si yeye basi nani?
 
Mh Polepole yuko sahihi sana ila kwa sababu UNAFIKI UMETAMALAKI KWENYE TAIFA HILI HATA UKWELI UKIBADILISHWA KUWA UONGO WATU WANAONA SAWA TU.

INASIKITISHA MNO
 
Shukuruni mama Samia kasema hii ni awamu ya sita. Angeweza kuiita ya tano kisha baadaye akagombea ya sita 2025 hadi 2035. Ni kiasi cha kuweka sawa nyenzo zake ndani ya chama na dola. Kanuni zinarekebishwa tu.

Jiwe alishaonyesha njia jinsi ya kuitengeneza serikali na chama kama unavyotaka na Watanzania wasikohoe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…