mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Wana CCM wanasema wanampenda Membe kwa haki na mali.CCM hawampendi, ila wananchi wanampenda, yetu macho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana CCM wanasema wanampenda Membe kwa haki na mali.CCM hawampendi, ila wananchi wanampenda, yetu macho.
Ukisikiliza hotuba yake yote huyu jamaa,kisha ukamtazama anayofanya sasa ni mbingu na ardhi.Sasa ni kipi kinamuogepesha kuruhusu TUME HURU!? Na hii sample yake ilikuwa ni ya ukubwa gani na katika mikoa ipi?
Kashaanza kuchomwa moto hapa hapa duniani kwa "uzinzi",hivyo alivyo ni mteja mkubwa wa "Global Fund na Mpango wa dharura wa beberu mkuu".Hivi Mungu atakapowachoma Moto wazinzi na waongo Polepole atapona kweli
😂😂😂😂kweli mwamba wadudu washaharibu ubongo ingekuwa hivyo mbona hasingekua na hofu na wapinzani kweli na kuacha kuwekeza kwny wapinzani fake mbatia na Mrema na Prof hovyoKatibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM...
Waongo hao CCM ina 30% yakukubalika.. Magufuri 25% basiCcm bado wako ndotoni
Ccm inakubalika 70% au 30%
mzeee si mzeee,kijana si kijana kazi kwelikweliKashaanza kuchomwa moto hapa hapa duniani kwa "uzinzi",hivyo alivyo ni mteja mkubwa wa "Global Fund na Mpango wa dharura wa beberu mkuu".
Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutuuuu.. hawezi kumpatia..yesu wa chatto ataangukia kisogo [emoji23]Tunaomba muchapishe fomu nyengine basi aje kuchukuwa Membe walau tujiridhishe ni kweli anapendwa kwa 90% au 100%. Maana isijekuwa anapendwa kwa 100% ila Slow Slow anapindisha takwimu.
Yes ndo maana alipata kura 4000000 ..hzo nyingine ni kwa msaada wa Tume ya uchaguzi...hakushindaNa hata 2015 Maguful aliibeba CCM mwenyewe, inawezekana kabisa Kwa sababu hata Mimi binafsi namkubali Magufuli kuliko......
Inawezekana pia ikawa 2% kufika OctoberKufikia October Rais Magufuli atafikia 98%
Magufuri kwa utafiti nilioufanya mm ana 30% tu ndo wanamkubali...70% wanaomba apumzike kuinusuru nchi na janga la umasikiniUtafiti umefanyika hivi karibuni!
Hata hao wakujitegemea bado wasingeaminiwaTafiti zinazofanywa na vyama vyenyewe Haziwezi kuaminika kabisa kama kweli zimefanyika. Kwa nini wasitumie independent researchers???
Hiyo 90% labda sample wamechukua kwenye Ukoo wa JEIPIEMU.Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM.
Komredi Polepole amesema hayo jijini Mbeya alikoendesha harambee ya kuichangia CCM na kuvunja rekodi kwa kukusanya sh 160 milioni kati ya sh 156 milioni zilizobajetiwa...
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM....
Mbona kuchukua fomu peke yake?Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM...
Sasa ni kipi kinamuogepesha kuruhusu TUME HURU!? Na hii sample yake ilikuwa ni ya ukubwa gani na katika mikoa ipi?
Kwa vigezo vipi unavyotumia?