Uchaguzi 2020 Polepole: Kura ya maoni inaonesha Rais Magufuli anakubalika na wananchi kwa 90% na CCM inakubalika kwa 70%

Uchaguzi 2020 Polepole: Kura ya maoni inaonesha Rais Magufuli anakubalika na wananchi kwa 90% na CCM inakubalika kwa 70%

Wewe ni Mataga huna jipya
Niwe nisiwe hainpunguzii Wala kuniongezea chochote, Na Neno Hilo haliwezi kuwaogopesha watu kuandika maoni Yao eti tu wataitwa Mataga! Huwezi kutetea hoja zako za kipuuzi kuwatishia watu eti utawaita Mataga wakichelenji hoja, wataendelea, kwa sababu hawawi hivyo kama akiri yako ilivyounda taswira hiyo!

Jenga hoja mkuu
 
Channel 10, si ndio ile TV waliyopewa CCM??? Ungetegemea wasemeje???
 
Hata wakipiga kura mapolisi watupu hafiki hata 50%. Maigizo hayana mvuto tena.
Magonjwa mtambuka
Crimea
Wakudadavua
Johnthe baptist
Lizaboni
Nyani Ngabu
Paskali Mayala
Bia yetu
Drone camera
Jane Lowasa
USSR
Paul Sylvester
Mr chopa
Troll JF
Tramadol
Nawatafuna au anafunwa


Hawa wote lazima wampigie kura Lifuguma

Hapo wengi nimewalamba block.
 
Magonjwa mtambuka
Crimea
Wakudadavua
Johnthe baptist
Lizaboni
Nyani Ngabu
Paskali Mayala
Bia yetu
Drone camera
Jane Lowasa
USSR
Paul Sylvester
Mr chopa
Troll JF
Tramadol
Nawatafuna au anafunwa


Hawa wote lazima wampigie kura Lifuguma

Hapo wengi nimewalamba block.
😂😂😂😂

Raha Sana aisee, mkuu, hata hivyo hamna kosa! Kuna wengine watampigia Hashimu rungwe na wengine Kura zao zitaharibika mkuu, hivyo tusilaumiane na ndio dhana ya upinzani mkuu
 
CCM open game ahhh mapemaaaa sana wanapigwaaa

Ova
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM.

Komredi Polepole amesema hayo jijini Mbeya alikoendesha harambee ya kuichangia CCM na kuvunja rekodi kwa kukusanya sh 160 milioni kati ya sh 156 milioni zilizobajetiwa

Wananchi wa Mbeya wamesema watampiga chini Sugu liwake jua au inyeshe mvua na kwamba watamchagua mgombea yoyote atakayeteuliwa na CCM

Chanzo: Channel ten tv

Maendeleo hayana vyama!
Anakubalika vipi?
Kwa mujibu wa TBC1 au?kama anakubalika,sheria za kijikinga kuogopa kushitakiwa na hao "wanaomkubali" mnatunga za nini?
 
Kura ya maoni niliyoifanya inaonyesha Lissu anakubalika kwa aslimia 96%
Magufuli anakubalika kwa aslimia 4%
Na chadema inakubalika kwa aslimia 98%
dah hahahahahaha walau hapo .siyo utafiti alo fanya polepole
 
Utafiti kutoka HATUWEZI.ORG😀

Everyday is Saturday...........................😎
 
The most voted MP...kwani SUGU kateuliwa?..si wangempiga chini tangu uchaguzi ulopita
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM.

Komredi Polepole amesema hayo jijini Mbeya alikoendesha harambee ya kuichangia CCM na kuvunja rekodi kwa kukusanya sh 160 milioni kati ya sh 156 milioni zilizobajetiwa

Wananchi wa Mbeya wamesema watampiga chini Sugu liwake jua au inyeshe mvua na kwamba watamchagua mgombea yoyote atakayeteuliwa na CCM

Chanzo: Channel ten tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM.

Komredi Polepole amesema hayo jijini Mbeya alikoendesha harambee ya kuichangia CCM na kuvunja rekodi kwa kukusanya sh 160 milioni kati ya sh 156 milioni zilizobajetiwa

Wananchi wa Mbeya wamesema watampiga chini Sugu liwake jua au inyeshe mvua na kwamba watamchagua mgombea yoyote atakayeteuliwa na CCM

Chanzo: Channel ten tv

Maendeleo hayana vyama!
Sasa kama anapendwa ndio pa kuleta Tume huru basi ili adhihirishe kuwa anakubalika
 
Source : Channel ten 😂😂.....huu mwaka una mambo, research zinafanywa midomoni.
 
Back
Top Bottom