Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sawa tuchulie korona lakini mbona viwanda vya samaki toka tanga Hadi Mtwara havijajengwa tatizo Ni Nini au alikuwa anatudanganya ili timpe kura bure
 
Hawa ndio wanatusaidia kuimaliza CCM!
Tuwahamasishe wazidi kujivua boxer,mbona hatujasikia kuhusu Hector 20,000 kule Kihanga?Nani aliyemuuzia Mheshimiwa ardhi yote hiyo na ilikuwa bei gani pamoja na vyanzo vya hizo fedha.Maadili wanaifahamu hiyo Ranch?
 
Kwani wakati Ana ahidi alikuwa hajui mahitaji na changamoto za wananchi au alikuwa anjifurahisha
 
Kwani wakati Ana ahidi alikuwa hajui mahitaji na changamoto za wananchi au alikuwa anjifurahisha
Alichokifanya kwa njia nyingine ni kikubwa na chenye faida za muda mrefu kuliko ahadi iliyotolewa.

JPM anajenga misingi ya kiuchumi ambayo uwepo wake utazalisha nyingi ya ahadi anazozitoa au alizozitoa.
 

Ametueleza kuwa uwanja wa mpanda ulijengwa kwa ajili ya watalii wanaokwenda Katavi National park, Je kwa nini hakutuambia ule wa singida na chato ulijengwa kwa sababu gani?

Wanashindwa kuibu hoja, wanasingiziwa kuwa Lissu ana tatizo kwenye memory, je kati yao na Lissu ni akina nani wana matatizo ya memory?

Hao wameshikwa pabaya. Viongozi wote wa ccm wanaopiga kampeni wanamshambulia mtu mmoja - LISSU lakini bado wanaweweseka.
 
Sisi tunajua kuwa lisu ameishashinda na Kama hawaamini mbona wanapanga njama Ya wizi?
 
Mkuu kuweka rekodi sawa hakuna uwanja wa ndege unaojengwa Singida.....hakuna
 
Tungepeda kuona chama cha mapinduzi kikieleza sera zake zaidi kuliko kujibu spana za LISSU,
 
Hahahaaaa kuna ubeti unamaliIzia abiria wanaotumia uwanja wa mpanda ni wataliiii hahaaaahaa,nimeusoma kwa sauti paka wangu akaguna
 
Kama mlivyokuwa mstari wa mbele kuua na kuteka watu.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda wake wa two hours kumsikiliza mtu kama Polepole
The same is also true for Lissu, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kukaa na kumsikiliza zaidi labda abaki anashangaa namna alivyo baada ya zile risasi za ndege 16!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…