Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

Uchaguzi 2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

..hoja za namna hii hazina mashiko tena.

..ccm mmedanganya wananchi kwa miaka na miaka.

..wananchi wanampenda na wanamuunga mkono TL.
Hawa hapa chini. Tena wametulia kabisa wakisikiliza sera ili tarehe 28/10/2020 wamchinje msaliti Lissu.
IMG-20200928-WA0035.jpg
IMG-20200928-WA0036.jpg
 
KWANZA......Alituambia Mwingereza Alijenga Reli ya Kaliuwa Mpanda na CCM walishaiiuwa haifanyi kazi tena, Lakini Ukweli ni Kwamba Reli ile inafanya Kazi na Train inakwenda Mpanda kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]....

Pili.....TUNDU LISU Alisema uwanja Wa Ndege Wa Mpanda ulijengwa kwa Sababu ya Pinda kuwa waziri Mkuu. Autumie akiwa anaenda Xmass naa baada ya Kuastafu uwaziri mkuu uwanja Ule haufanyi kazi hata Ndege alizonunua MAGUFULI haziendi hukoo, uwanja umeota Nyasi.....TUNDU Lissu Alisema UWONGO.! Ukweli uwanja huu unatumika na Bombadia zinakwenda

Tatu.....Kuhusiana Bwawa LA umeme LA Bonde LA Rufiji Akadhihaki Akasema ETI WAMELIPA JINA LA NYERERE ILI TUSIHOJI...Akendelea Kusema Hakuna MTU anaejua Gharama za ujenzi Wa Bwawa LA Nyerere Zaidi ya MAGUFULI na Dotto..HUU NI UWONGO WA KUTUPA.Rais MAGUFULI akiwa Mbele ya TV ya Taifa alilitangazia Taifa kuwa Bwawa lile litagharamu trillion 6..... TUNDU ACHA UWONGO

Nne.....Juzi bila hata Kufanya utafiti Akalopoka baada ya kuona habari za kizushi MITANDAONI. Akawaambia Wafuasi Wake kuwa Rais Anakutana na Wasimamizi Wa Uchaguzi ili Wamhujumu na kumuibia Kura .... KITU AMBACHO NI UWONGO RAIS HAJAKUTANA NA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI.

Kuna Uzi ulipita Jana Kuna Mwamba aliainisha watu watakaompigia Kura MAGUFULI number moja Alisema watakaompigia kura MAGUFULI NI WATU WENYE AKILI TIMAMU Nimeamini TUNDU Lissu wengi wanampigia chapuo ya Kuwa Rais ni Wahuni na watu Wa kupelekeshwa na mehemko.
Haiwezekani ukawa na AKILI TIMAMU Halafu kuna lijitu linasemasema uwongo tuuu na wewe bila hata kutumia AKILI unakuja kutetea Upuuzi Wa jitu hilo.

TWENDE NA MAGUFULI ANATOSHA
Pia kadanganya kwamba Watanzania wanajiteka na kujiua wenyewe
Pia kadanganya watu kwamba chato Kuna International Airport
Kadanganya pia Mayanga ni kampuni ya nyumba kubwa
Akadanganya pia vitambulisho vya machinga c lazima
Anaendelea kudanganya HALSB ,inakata 15,% toka 03%

HUYU NI MUONGO WA KUPUUZWA
 
The only help you need is to Face the fact, TUNDU Lissu Won't win this ELECTION.

The Other help you need is To prepare Your Self On how to handle the speed of MAGUFULI in 2020-2025

Mwambieni Lissu aseme kitu kuhusu Ushoga
Ushoga privet issue Kama tayari ushakua usimsingizie Lissu
 
Tatizo sio Lissu, yeye anawaambia watu wanayopenda kuyasikia wao hawajali hata kama ni uongo.
 
Hiyo ni typing error alikuwa anamaanisha neno Kabisa, uwe unajiongeza na wewe usikariri inamaana hukuenda shule?
Naye awe anatulia kabla ya kuandika! Kwani anakimbizwa na nani? Acha kutetea uzembe; Kalaghabao
 
The same is also true for Lissu, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kukaa na kumsikiliza zaidi labda abaki anashangaa namna alivyo baada ya zile risasi za ndege 16!

Mkuu, TL ni mtu aliyezaliwa na akili kabla ya kuingia darasani, hakuna mtu anayesumbua serikali ya JPM kama TL na asikiambie mtu kujua sheria ndio kitu kikubwa kinampa jeuri TL kwa sababu nchi inaendeshwa kwa katiba na sheria.
 
Hawa ndio wanatusaidia kuimaliza CCM!
Hivi Chato kuna uwanja wa kimataifa haina. Value for money ya uwanja huo ambayo CAG alisema ulitumia bilioni 40+ na wengine wanasema bilion 60+ ni nini. Uchumu uchumi itakuja ataikumkuta ana miaka 80 atasimama kisutu na uzee huo baada ya kuondolewa presidential immunity, kama ilivyomtokea CHILUBA wa ZAMBIA. Question of time
 
Mkuu,TL ni mtu aliyezaliwa na akili kabla ya kuingia darasani,hakuna mtu anayesumbua serikali ya JPM kama TL,na asikiambie mtu kujua sheria ndio kitu kikubwa kinampa jeuri TL kwa sababu nchi inaendeashwa kwa katiba na sheria.
Walikuwepo kina Mtikila Bwana Ila walituliaa Wapinzani wa Tanzania wote huwa NGUVU YA SODA
 
Komredi Polepole yuko mubashara Channel ten akizungumzia maendeleo ya kampeni za CCM.

Kadhalika Polepole ametolea ufafanuzi baadhi ya mambo yaliyopotoshwa na wapinzani hasa Tundu Lisu ikiwemo ujenzi wa SGR na uwanja wa ndege wa Chato.

Karibu.

=======

POLEPOLE: Wenzetu wa Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, uongo mkubwa, upotoshaji wa makusudi. Lakini uzuri Watanzania wanajua uongo na leo nitawapeni ushahidi wa mambo ya uongo watu hawa wamesema.

Ukija kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege, kiwanja cha ndege hatujajenga Chato peke yake. Tunajenga Singida, Mpanda. Na kwanini tumejenga Mpanda? Juzi anasema uwanja wa ndege wa Mpanda umejaa majani, hivi kweli?

Mimi sipendi kuzungumza mambo ya mtu binafsi, nafahamu mwaka 2017 huyu bwana alipata matatizo, matatizo wanapata watu wengi lakini nna shaka somewhere, somehow pahala fulani hivi iko shida kwenye memory.

Uwanja wa ndege wa Mpanda haukujengwa kwa sababu ya Mizengo Pinda, uwanja wa ndege wa Mpanda ambao unafanya kazi mpaka leo hii asubuhi, ndege inatua pale ya bombadier, abiria wengi wanaotumia uwanja wa ndege wa Mpanda sasa hivi ni watalii. Wanakwenda Katavi National Park yenye wanyama mbalimbali.

Ukiangalia flight manifest ya abiria wanaokwenda Mpanda, wengi ni raia wa kigeni.
Polepole ni mpuuzi tu yeye naye hakumbuki hii?
 
Bwashee akizungumzia ufisadi wa ekari elfu 25 zakule karagwe, pamoja na kupewa tenda kwa mayanga construction company, napia kama kuna uongo wowote juu ya fao lakujitoa utuwekee taarifa.

Ebu nieleze bwashee kakupatia jibu au katimua mbio kama Duma
 
CCM wamekamatika hadi wameomba poo, sijawahi ona mgombea eti anakwenda mapumziko ya kampeni this time ndio nimeona mbaya wanamzuia na Lissu eti apumzike.
 
Hahaha hata Polepole anaijua "memory "?!
Au Lumumba ndio wameanza kuhudhuria masomo ya jioni ya kiingereza?!
 
Alichokifanya kwa njia nyingine ni kikubwa na chenye faida za muda mrefu kuliko ahadi iliyotolewa.

JPM anajenga misingi ya kiuchumi ambayo uwepo wake utazalisha nyingi ya ahadi anazozitoa au alizozitoa.
Kujenga misingi ya kiuchumi kwa kudhulumu stahiki za watu(Hakuna ajira mpya,Hakuna nyongeza ya mshahara,kuondoa fao la kujitoa,mpaka rambirambi alikula huko bk)Acha kujipendekeza Basi!
 
Back
Top Bottom