#COVID19 Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

Mataga mnamuangusha sana Samia,
Kwa hiyo Rais na kamati yake hawana akili..?!
 
Si uifuate tu hiyo chanjo kama Mbowe alivyofanya?
Mwendawazimu na Samia si ni kitu kimoja, au ?!
Kumuona Samia na kamati yake hawana akili , unakosea sana Bashite.
Kubali tu zama zimebadilika.
 
Mwendawazimu na Samia si ni kitu kimoja, au ?!
Kumuona Samia na kamati yake hawana akili , unakosea sana Bashite.
Kubali tu zama zimebadilika.
Kamati imepuuzwa maagizo yake yote
 
Hizo njia hazikusaidia lolote mlificha takwimu mkadanganya corona hamna huku watu wanakufa, acha uongo wewe
 
Huyo ni mpuuzi na mwongo mkubwa. Ni nani aliyemdanganya kuwa katika East Africa ni Tanzania tu ndiyo ambayo uchumi wake ulikua mwaka 2020?

Mtu akiongea uwongo kwa mambo yaliyo wazi, ni kumpuuza. Hakuna haja ya kufuata hekima ya mjinga na mnafiki.

Kenya: economic growth 2020 was 1.7%

Rwanda: economic growth 2020 was 6.7%

South Sudan: economic growth 2020 was 3.2%

Uganda: economic growth 2020 was 4.3%[

Sasa kusema ni Tanzania tu katika East Africa ndiyo ilikuwa na economic growth, sijui kama amekosa uelewa, au ni unafiki?
 
Kaangalie takwimu za world bank na NBS .

Jinga kabisa wewe
 
Kumwamini Mungu sawa ila tunapinga huo uganga wa kienyeji wa miti shamba Mungu yachangamani na uganga
 
Polepole apuuzwe tu kama anataka kupiga nyungu apige tu
Hawa ndiyo waliomdanganya Mzee wa watu kuhusu Corona ............ Msukuma, Jaffo na Dr. Gwajima mbona siku hizi hatuwasikii tena wakija na zile story zao za KUJIFUKIZA ....!!
 
Wacha mboyoyo wewe!

Kelele mingi mtoto mdogo unajitutumua!
Pambaf kabisa, ooh kunyweni Bupiji, pigeni Nyungu, kunyweni Tangawizi, Mwanangu alipata akapona kwa kujifukiza.
Msivae Barakoa
Mamaaae Dude likamwambia Mimi sitaki Zereu, likapita nae chaaaap, kama Mwewe.
 
Africans stand up siyo kila kitu wazungu tutaangamia! Tusifanywe wajinga siku zote
 
Pambaf kabisa, ooh kunyweni Bupiji, pigeni Nyungu, kunyweni Tangawizi, Mwanangu alipata akapona kwa kujifukiza.
Msivae Barakoa
Mamaaae Dude likamwambia Mimi sitaki Zereu, likapita nae chaaaap, kama Mwewe.
Ndo nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…