Uchaguzi 2020 Polepole: Watia nia wanaotoa rushwa kote Mikoani chama kina taarifa zao, hawatapata Uongozi

Uchaguzi 2020 Polepole: Watia nia wanaotoa rushwa kote Mikoani chama kina taarifa zao, hawatapata Uongozi

Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
Acha fedha za serikali zishuke kwenye mzunguko kwa wananchi, maana hali ni mbaya, maendeleo ya vitu ila kwa watu tunayatafuta kwa tochi
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.

..vyama viko vingi.

..usikubali kunyanyasika huko ccm.

..kuna nafasi kibao ziko wazi nccr, na cuf.

..ccm siyo baba yako au mama yako, achana nacho.
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
Wajumbe wakale wapi?
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
Delete ccm Oct 28
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
Wacha tu bora liende, kurudia ndiyo madudu yatakuwa mengi na mpasuko utaongezeka na muda pia siyo rafiki.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
Nashauri watanzania tukatae wabunge wanaogombea kwa ticketi ya ccm manake wamechaguliwa kwa rushwa.
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
Pia mbadili mgombea wenu wa uraisi hauziki saa nne asubui chali
 
Mpaka takukuru mwaka huu wamelamba mpunga balaa, halafu wakajifanya hawajapiga rushwa yoyote ile.
 
Kumekuwa na malalamiko karibu nchi nzima kuwa rushwa ilitumika sana kwa watia nia kwa nafasi mbalimbali iwe ni Ubunge na Udiwani. Naishauri Chama changu cha CCM kuwa zoezi hili LIFUTWE na utaratibu mpya uanze kwa watia nia. Inasemekana kuwa kura za maoni katika awamu hii imetia fora kwa watia nia kutoa rushwa ambayo historia katika Chama chetu cha CCM.
Wajumbe ambao ni wananchi wa hali ya chini mmewasabibishia imaskini mkubwa. Acha na wao wale chochote.
 

Watanzania tuamke kwani hiyo ndio CCM, genge linalotaka kubaki madarakani kwa njia zozote zile.
Kuteka, kutesa, kupoteza na sasa imenuia kuzima sauti zetu Watanzania.

Huwezi kuamini, lakini hiyo hapo juu ndiyo taswira halisi ya CCM, CCM ni ile ile
...CCM ya juzi , CCM ya jana, CCM ya leo na CCM ya wakati ujao kama tutairuhusu.

Unaweza kubisha, lakini ukweli ndio huo kwamba CCM ni genge la wale wale
...CCM ya Mwinyi, CCM ya Mkapa, CCM ya Kikwete na sasa CCM ya Magufuli.

Hata CCM yenyewe inataka ionekane ni ile ile na inatamba ikidai ni ile ile,
kwa matendo inathibitisha ni ile ile na inakiri kwa majigambo kwamba ni ile ile.

Ndugu zangu Watanzania, la kuvunda halina ubani na CCM sasa basi
...CCM imezeeka, CCM imechakaa, CCM inanuka na sasa umefika muda muafaka kwa CCM kufa na kuzikwa.

Tufanye kweli mwezi October, tuondokane na utawala wa kibabe usio na busara wala hekima,
utawala usiofuata sheria na utawala wa dhulma, rushwa na ukatili.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku.

Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe.

Chanzo: Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Magufuri mwenyewe katoa rushwa ndo maana ikatolewa fomu moja ya ugombea ndani ya ccm ...yaani mla rushwa amdhibiti mla rushwa mwenzake?? Duuuh ngoja tuone
 
Hadi sasa naweza kuwa na uhakika na wagombea kama watatu ambao hawana harufu ya rushwa ambao ni mh Majaliwa ( Ruangwa), Prof Kitila ( Ubungo) na Prof Kabudi ( Kilosa).

Mungu wape ujasiri CCM wa kutuletea wagombea sahihi

Maendeleo hayana vyama!
 
Hadi sasa naweza kuwa na uhakika na wagombea kama watatu ambao hawana harufu ya rushwa ambao ni mh Majaliwa ( Ruangwa), Prof Kitila ( Ubungo) na Prof Kabudi ( Kilosa).

Mungu wape ujasiri CCM wa kutuletea wagombea sahihi

Maendeleo hayana vyama!
Mwenyekiti anaandaa majina yake kutoka "Mfukoni" Anataka kupambana na ACT Wazalendo.
 
Havi kwanini Majaliwa anaogopa kushindana kama jiwe kipindi cha ubunge wake?

Kwamba anaona jahazi linazama apitishwe mapema ili amsaidie Jiwe upande wa kusini ili kumnusuru?


Lissu atachukua 60 percent ya kula zote kusini.
 
CCM akiamua kuwaengua waliotoa rushwa basi itajikuta na wagombea chini ya 50 nchi nzima. CCM ni rushwa na rushwa ni CCM.
 
Back
Top Bottom