Kwa kitila nahisi we ni mgeni ubungo mtafute ata dereva bodaboda atakuambia namna ilivyokuaHadi sasa naweza kuwa na uhakika na wagombea kama watatu ambao hawana harufu ya rushwa ambao ni mh Majaliwa ( Ruangwa), Prof Kitila ( Ubungo) na Prof Kabudi ( Kilosa).
Mungu wape ujasiri CCM wa kutuletea wagombea sahihi
Maendeleo hayana vyama!
Hadi sasa naweza kuwa na uhakika na wagombea kama watatu ambao hawana harufu ya rushwa ambao ni mh Majaliwa ( Ruangwa), Prof Kitila ( Ubungo) na Prof Kabudi ( Kilosa).
Mungu wape ujasiri CCM wa kutuletea wagombea sahihi
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu ni kura na sio kula.Havi kwanini Majaliwa anaogopa kushindana kama jiwe kipindi cha ubunge wake?
Kwamba anaona jahazi linazama apitishwe mapema ili amsaidie Jiwe upande wa kusini ili kumnusuru?
Lissu atachukua 60 percent ya kula zote kusini.
Kwa taarifa yako hujuma kubwa inafanyika Ruangwa hivi sasa na wagombea wa CDM na ACT wamepigwa na kuumizwa vibaya na watu wasiojulikana, na WM anataka apite bila kupingwa, kweli ccm mna hofia demokrasia hata WM mwoga hivyo licha ya kuwa jukwaani miaka 5?!Hadi sasa naweza kuwa na uhakika na wagombea kama watatu ambao hawana harufu ya rushwa ambao ni mh Majaliwa ( Ruangwa), Prof Kitila ( Ubungo) na Prof Kabudi ( Kilosa).
Mungu wape ujasiri CCM wa kutuletea wagombea sahihi
Maendeleo hayana vyama!
nimeshangazwa na MajaliwaHavi kwanini Majaliwa anaogopa kushindana kama jiwe kipindi cha ubunge wake?
Kwamba anaona jahazi linazama apitishwe mapema ili amsaidie Jiwe upande wa kusini ili kumnusuru?
Lissu atachukua 60 percent ya kula zote kusini.
nimeshangazwa na MajaliwaHavi kwanini Majaliwa anaogopa kushindana kama jiwe kipindi cha ubunge wake?
Kwamba anaona jahazi linazama apitishwe mapema ili amsaidie Jiwe upande wa kusini ili kumnusuru?
Lissu atachukua 60 percent ya kula zote kusini.
Na wao wanampingaje kijano wao mwenye majukumu makubwa taifani?Kwa taarifa yako hujuma kubwa inafanyika Ruangwa hivi sasa na wagombea wa CDM na ACT wamepigwa na kuumizwa vibaya na watu wasiojulikana, na WM anataka apite bila kupingwa, kweli ccm mna hofia demokrasia hata WM mwoga hivyo licha ya kuwa jukwaani miaka 5?!