Polisi ijitafakari, inaajiri vilaza sana

Polisi ijitafakari, inaajiri vilaza sana

Ndo washindwe kuwa hata na Common sense. Mtu mzima hata haki za binadamu hazijui? Kula haki? Na wasiokula wamekosa haki yao wakashtaki wapi ili wapate haki yao?
Kwani wamekosea wapi iwapo:-
-kula ni hitaji la msingi kwa binadamu.
-kuishi ni haki ya binadamu na si wajibu.
-Na je,kumpatia mtu mavazi na malazi bila chakula ni kumtendea haki?
-huyo mtu akifa kwa kutokula atakuwa kapotezewa haki ya kuishi.
-kwa hiyo,ili kumtimizia haki ya kuishi ni lazima "uhakikishe"/apate haki yake ya kula.Wigwa Mwanamalundi?
NB-Pilau oyeeee!
 
Sasa kama mtihani wa la saba unafeli, wanao wanaopewa quiz na walimu wao anawsaidiaga nan hapo kwako?
Mi nimeshakwambia, hata walimu wanaotoa hizo quiz ukiwamwaga darasani wafanye mtihani wa la 7 wapo watakaodondokea pua, labda current na ufundishaji ndiyo watakaofanya vzuri.

Mtihani bila kusoma usitegemee matokeo ya maana mkuu.

Elimu ya msingi uliyoipata wewe miaka 10 ama 20 iliyopita haiwezi kumechi kisilabi na elimu ya leo.

Mtihani wa drs la7 huwastahili waliofanya masomo katika silabi hiyo, nje ya silabi hauwezi faulu hata kama una elimu ya juu.

Sikatai yapo utakayoyakumbuka, lakini ufaulu wako utakuwa dhaifu ama kufeli kabisa.
 
Kwani wamekosea wapi iwapo:-
-kula ni hitaji la msingi kwa binadamu.
-kuishi ni haki ya binadamu na si wajibu.
-Na je,kumpatia mtu mavazi na malazi bila chakula ni kumtendea haki?
-huyo mtu akifa kwa kutokula atakuwa kapotezewa haki ya kuishi.
-kwa hiyo,ili kumtimizia haki ya kuishi ni lazima "uhakikishe"/apate haki yake ya kula.Wigwa Mwanamalundi?
NB-Pilau oyeeee!
We jamaa polisi!
Utatusumbua kwenye uzi wetu huu. Naanza kuamini wewe ndo yule polisi pale tuliokuwa tunasumbuana. Usalama gani wewe huna kichogo
 
Na walikukosea ilitakiwa waku baltasary
 
Kwa hiyo mfumo wa elimu au content ya elimu wanayopata ccp ndo shida?
Uamke saa nane usiku kukimbia mchakamchaka.Urudi saa kumi alfajiri kujiandaa parade.Saa kumi na mbilib asubuhi hadi saa nane uchape gwaride.Ukila saa nane mchana hadi saa kumi "kasarobo"(kwa ajili ya foleni) uende fatiki hadi saa kumi na mbili.Siku mojamoja ufundishwe PGO kimagumashi.Utatoka kozi kichwa kina materials ya kutambia kweli.Utakuwa huna kitambio zaidi ya gwanda na buti lililoisha soli.
 
Mi nimeshakwambia, hata walimu wanaotoa hizo quiz ukiwamwaga darasani wafanye mtihani wa la 7 wapo watakaodondokea pua, labda current na ufundishaji ndiyo watakaofanya vzuri.

Mtihani bila kusoma usitegemee matokeo ya maana mkuu.

Elimu ya msingi uliyoipata wewe miaka 10 ama 20 iliyopita haiwezi kumechi kisilabi na elimu ya leo.

Mtihani wa drs la7 huwastahili waliofanya masomo katika silabi hiyo, nje ya silabi hauwezi faulu hata kama una elimu ya juu.

Sikatai yapo utakayoyakumbuka, lakini ufaulu wako utakuwa dhaifu ama kufeli kabisa.
Elimu ya msingi si kupima ufaham wa mtu tu. Au kuna nn cha kukuweka chini ukasoma?
 
We jamaa polisi!
Utatusumbua kwenye uzi wetu huu. Naanza kuamini wewe ndo yule polisi pale tuliokuwa tunasumbuana. Usalama gani wewe huna kichogo
Sina kichogo tena?Kwani nilwasili kwa chombo toka Pemba na pakacha la mahogo kivunde?
 
Uamke saa nane usiku kukimbia mchakamchaka.Urudi saa kumi alfajiri kujiandaa parade.Saa kumi na mbilib asubuhi hadi saa nane uchape gwaride.Ukila saa nane mchana hadi saa kumi "kasarobo"(kwa ajili ya foleni) uende fatiki hadi saa kumi na mbili.Siku mojamoja ufundishwe PGO kimagumashi.Utatoka kozi kichwa kina materials ya kutambia kweli.Utakuwa huna kitambio zaidi ya gwanda na buti lililoisha soli.
Kumbe ccp nayo haina jipya?
 
Uamke saa nane usiku kukimbia mchakamchaka.Urudi saa kumi alfajiri kujiandaa parade.Saa kumi na mbilib asubuhi hadi saa nane uchape gwaride.Ukila saa nane mchana hadi saa kumi "kasarobo"(kwa ajili ya foleni) uende fatiki hadi saa kumi na mbili.Siku mojamoja ufundishwe PGO kimagumashi.Utatoka kozi kichwa kina materials ya kutambia kweli.Utakuwa huna kitambio zaidi ya gwanda na buti lililoisha soli.
Si rahisi polisi kuwa na heka heka hizo huko ccp kwa sababu muundo wa mafunzo ya upolisi unategemea sana kukaa darasani.

Sasa polisi unamuasha usiku akimbie mchaka mchaka na mengine kama hayo yanamsaidia nini kwenye mazingira yake ya kazi?

Heka heka za kukesha na mafunzo magumu yako jeshini na ni kwa sababu kinachofundishwa jeshini ni sehemu ya kazi yenyewe ilivyo.
 
Si rahisi polisi kuwa na heka heka hizo huko ccp kwa sababu muundo wa mafunzo ya upolisi unategemea sana kukaa darasani.

Sasa polisi unamuasha usiku akimbie mchaka mchaka na mengine kama hayo yanamsaidia nini kwenye mazingira yake ya kazi?

Heka heka za kukesha na mafunzo magumu yako jeshini na ni kwa sababu kinachofundishwa jeshini ni sehemu ya kazi yenyewe ilivyo.
Ndo wanyimwe mafunzo ya kutumia akili. Unajua polisi kwa akili zao zilivyo unaweza kuwashambulia kwa bigijii au pipi za chocolate tu
 
Back
Top Bottom