Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani muwatimulie vumbi na Passo zenu halafu hamtaki kutoa za kubrashia?😂😂Yananikera sana barabarani.
Empty kabisa!
Hivi makolo mbona mnapenda kutuaibisha sana nyie?Hapo kwenye msosi ndipo hoja ya uzi wako ilipo.Pole.Kama nakuona ulivyolengwalengwa na machozi hutaki wageni wale kwa ndugu yako.
Tatizo lako umejinunisha kwa sababu ya kutoandaliwa mchuzi wa nyama siku nyingi. Hebu hima uje uchukue bakuli lako uliloniachia hapa mtaa wa Tandamti wewe lichura aka utopwise!Hivi makolo mbona mnapenda kutuaibisha sana nyie?
Atakuwa m-CCM mwenzako huyo.Una roho ya uchoyo. Pilau tu unakunja je hela?
Supu tumeshakula sana na tunatamba nayo shida ipo kwenu nyie simbilisi.Tatizo lako umejinunisha kwa sababu ya kutoandaliwa mchuzi wa nyama siku nyingi. Hebu hima uje uchukue bakuli lako uliloniachia hapa mtaa wa Tandamti wewe lichura aka utopwise!
Yani muwatimulie vumbi na Passo zenu halafu hamtaki kutoa za kubrashia?😂😂
Huyo mfuasi wa MboweAtakuwa m-CCM mwenzako huyo.
Simba mwenyewe ni mnyama.Sasa ana uhitaji tena wa nyama gani?Waulize KCMC...ooopsss ni KMC.Supu tumeshakula sana na tunatamba nayo shida ipo kwenu nyie simbilisi.
Yaani kila.post mnawaza nyama nyama
"Ndugu wawili mnagombania fito kujengea nyumba moja? Hapana"Simba mwenyewe ni mnyama.Sasa ana uhitaji tena wa nyama gani?Waulize KCMC...ooopsss ni KMC.
Ndiyo PGO/POG inavyoelekeza..."Do not entertain any negotiations "...!😂Wajinga wana maswali halafu hawataki kujibiwa.
Hawajui ila hawataki kuelimishwa
Mbona anaonesha hana hela?Huyo mfuasi wa Mbowe
elimu ya zaman ngumu sana kuliko elimu ya siku hzMi nimeshakwambia, hata walimu wanaotoa hizo quiz ukiwamwaga darasani wafanye mtihani wa la 7 wapo watakaodondokea pua, labda current na ufundishaji ndiyo watakaofanya vzuri.
Mtihani bila kusoma usitegemee matokeo ya maana mkuu.
Elimu ya msingi uliyoipata wewe miaka 10 ama 20 iliyopita haiwezi kumechi kisilabi na elimu ya leo.
Mtihani wa drs la7 huwastahili waliofanya masomo katika silabi hiyo, nje ya silabi hauwezi faulu hata kama una elimu ya juu.
Sikatai yapo utakayoyakumbuka, lakini ufaulu wako utakuwa dhaifu ama kufeli kabisa.
Ngoja niwaulize Azam."Ndugu wawili mnagombania fito kujengea nyumba moja? Hapana"
Aliskika akisema Ahmed
Wewe jamaa ni mchoyo Sana, btw ulipata bahati sana ya kuzungumza na hao watu mambo yako ya kitopoloNdo washindwe kuwa hata na Common sense. Mtu mzima hata haki za binadamu hazijui? Kula haki? Na wasiokula wamekosa haki yao wakashtaki wapi ili wapate haki yao?
Polisi muda wote londoni kashika gobole anawaza ulanzi unadhani kaajiriwa kwq kigezo gani? Wanaangalia urefu tu, na ukiingia kikosi unapigwa chuma unajaa nyama unawekwa nje ya mlango pale huelewi kiswahili.. pumbav kabisaMiaka ya 80 kuagiriwa polisi ujue tu kusoma na kuandika, sijui miaka iliyofuata.