Polisi ijitafakari, inaajiri vilaza sana

Polisi ijitafakari, inaajiri vilaza sana

Si rahisi polisi kuwa na heka heka hizo huko ccp kwa sababu muundo wa mafunzo ya upolisi unategemea sana kukaa darasani.

Sasa polisi unamuasha usiku akimbie mchaka mchaka na mengine kama hayo yanamsaidia nini kwenye mazingira yake ya kazi?

Heka heka za kukesha na mafunzo magumu yako jeshini na ni kwa sababu kinachofundishwa jeshini ni sehemu ya kazi yenyewe ilivyo.
Huwa hamuwaelewi kwa sababu mmetanguliza uoga au chuki kabla ya kusikiliza na lugha.Na hata ukiegemea kwenye lugha,wao si waelezeaji wa jambo kwa kuremba na kunyambua kiundani kwa kila mtu.Kuhusu kutumia muda mwingi kwenye mazoezi hilo usibishe kabisa.Kazi yenyewe inahitaji waje kubishana na watu kuhusu "haki na ulaji" wa pilau kama mleta uzi. Unatarajia nini hapo?Polisi wanajengwa kutolewa tabia za kiraia wengine,uvumilivu,ukakamavu wa mwili,ujasiri,ubunifu,wepesi wa matumizi ya akili,utambuzi na ugunduzi,kuitangulia akili ya raia kimtazamo chanya,kuimiliki/kuimudu kazi na ikibidi kuishi kimaigizo bila kusahau heshima,utii na utunzaji siri wa hali ya juu.Hayo mambo hayahitaji dakika ishirini kwa siku.
 
Huwa hamuwaelewi kwa sababu mmetanguliza uoga au chuki kabla ya kusikiliza na lugha.Na hata ukiegemea kwenye lugha,wao si waelezeaji wa jambo kwa kuremba na kunyambua kiundani kwa kila mtu.Kuhusu kutumia muda mwingi kwenye mazoezi hilo usibishe kabisa.Kazi yenyewe inahitaji waje kubishana na watu kuhusu "haki na ulaji" wa pilau kama mleta uzi. Unatarajia nini hapo?Polisi wanajengwa kutolewa tabia za kiraia wengine,uvumilivu,ukakamavu wa mwili,ujasiri,ubunifu,wepesi wa matumizi ya akili,utambuzi na ugunduzi,kuitangulia akili ya raia kimtazamo chanya,kuimiliki/kuimudu kazi na ikibidi kuishi kimaigizo bila kusahau heshima,utii na utunzaji siri wa hali ya juu.Hayo mambo hayahitaji dakika ishirini kwa siku.
Polisi hawatumii akili mana akili zenyewe hawana
 
Wazee kwema,
Ni kwa namna gani hasa hawa polisi wanaajiriwa na hizo interview zao zinakuaje?.

Juzi nimeenda kumtembelea mzee wangu flani hiv akiwah kuwA kiongozi nchini. Pale getini nimekutana na polisi viaz sana na mbaya zaidi wameletewa pilau wale mama ya nchi.

Katika mabishani mawili matatu nikajikuta naparuzana maneno na yule jamaa. Hii ni kawaida sana kwa watu wenye experience ya kutembela nyumba za viongozi wastaafu.

Kilichonikwaza mm ni kuona jamaa hata haki za binadamu hazijui. Katika madai yake anasema haki ya binadam ya msingi ni kuishi na ya pili (ikifuatiwa) ni kula, haki ya tatu alisema kulala. Nikaondoka bila kuaga mana haki za binadam ni darasa la nne au la tatu. Hii inaonesha yule jamaa anaweza kurudia mtihani wa darasa la saba akafeli

Kwa nn serikali inaajiri viande na kuacha madigrii mtaani. Imenifikirisha hasa hata wale wanajeshi waliobaka binti wa yombo hawakuwa na walau idea ya matokeo ytakayowakuta. Yani polisi, jeshi na vyombo vya usalama ni upupu tu.
Huyo polisi unaweza Kuta ana degree ila amesema hizo ni haki za binadamu kwakua hapati mda wa kulala usiku anakesha kulinda na akitokea LINDO Ile asubuhi saa 12, anatakiwa kazini saa nne asubuhi ndo maana unakuta akili yake ipo hivo
 
Yapo utapatia kwa intelligence yako sikatai, lakini mengi yatakubwaga.

Kureseat elimu yoyote uliyoipitia huwa lazima usome ama ujikumbushe.
Hakuna maswali ya kumpima mtu akili? Mfano unaambiwa ukisikia kelele za mwizi usiku na ukatoka nje, ukakutana na tukio la mauaji maiti imelala chini na kisu utafanyaje? Kwa nn utafanya hivyo?

Mpaka usome?
 
jiulize kwanini waliweka Polisi? Mkoloni ndio alileta huu upuuzi. Sio Mungu wala nature, kwangu Polisi ni adui kama maadui wengine, magonjwa na njaa.
 
Ijitafakari kivipi? Umeandika kwamba serikali inaajiri vilaza inaacha wenye degree! Kwan ulisoma degree ya upolisi? Kaajiriwe kwenye hicho ulichosomeaa na degree yako. Degree zenyewe za mchongo tu yaan vilaza wengi tu na degree zao. Yaan unaenda kwenye familia za watu afu unataka wa kukarimu Kama na wewe ni mkazi wa hio familia?😀.
 
Ijitafakari kivipi? Umeandika kwamba serikali inaajiri vilaza inaacha wenye degree! Kwan ulisoma degree ya upolisi? Kaajiriwe kwenye hicho ulichosomeaa na degree yako. Degree zenyewe za mchongo tu yaan vilaza wengi tu na degree zao. Yaan unaenda kwenye familia za watu afu unataka wa kukarimu Kama na wewe ni mkazi wa hio familia?😀.
Mm sijataka ukarimu mzee, uko lindoni nn?
 
Back
Top Bottom