Polisi ijitafakari, inaajiri vilaza sana

elimu ya zaman ngumu sana kuliko elimu ya siku hz
 
Ndo washindwe kuwa hata na Common sense. Mtu mzima hata haki za binadamu hazijui? Kula haki? Na wasiokula wamekosa haki yao wakashtaki wapi ili wapate haki yao?
Wewe jamaa ni mchoyo Sana, btw ulipata bahati sana ya kuzungumza na hao watu mambo yako ya kitopolo
 
Miaka ya 80 kuagiriwa polisi ujue tu kusoma na kuandika, sijui miaka iliyofuata.
Polisi muda wote londoni kashika gobole anawaza ulanzi unadhani kaajiriwa kwq kigezo gani? Wanaangalia urefu tu, na ukiingia kikosi unapigwa chuma unajaa nyama unawekwa nje ya mlango pale huelewi kiswahili.. pumbav kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…