Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

Ila me nakuiliza swali, nyie ujinga ni kipaji kwenu au sio ? Mbona huwa hamsikii
Inashangaza sana no wonder CCM wako madarakani mpaka Leo hii


Ila mm naona hii ni michezo ya serikali kuwaibia wananchi wake, haiwezekan Toka enzi za DECI wanaona kabisa watu wanacheza wao wako kimya u ila wakishaona wamekuwa wengi na pesa ya kuwalipa ni changamoto wanajidai kuzuia pesa na kuzitaifisha.
 
Yaani mchungaji aliyewaunganisha ni mchungaji apiyekuja kumtembelea mchungaji wa kanisa hilo
Kimewaramba hicho, nmekumbuka Deci, lilikuja lichungaji geni bonge lenyewe si rahisi kuwaza ni tapeli, ila mahubiri yake wakati anawatambulisha watu kwenye DECI nkashtuka hamna mchungaji pale,
Walioingia kingi kilipowakuta walibaki kutia huruma
 
Hahaha wanaonaga kama wap ndio wametumwa na MUNGU watuambie tutachomwa moto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna siku nyumbani kulikua na mfungo na maombi.
Kwetu ni walokole. Picha linaanza kuomba makelele hadi majirani wanasikia, vilio kama vyote🀣
Ilibidi niwaambie 'jamani tupunguze sauti tunawapigia kelele majirani'

Mama yangu alininunia siku nzima! Eti nacheza na Mungu ni either nina mapepo au mimi ni mchawi.
 
Hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , kuna siku nlijifanya kama natoka home nikapita dirishani chini kwa chini kwa kunyemelea nikamsikia maza anamwambia mdogo wangu wa kike eti mimi ni kapepo fulani hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, nikatoka kimya kimya nikafungua geti nikaendelea na mishe zangu.
 
Bikini?πŸ€”
 
Piga mbwa Hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…