Polisi Iringa yawaua majambazi saba

Inaweza kuwa kweli kuwa kuna uhuni wa polisi.

Lakini Iringa kuna raia wengi kwa nini wawe hawa waliouwawa?

Kuwa na siraha mbili zilizokamatwa haimanishi kuwa hakukuwa na majibizano baina ya polisi na watuhumiwa.
 
Majambazi wengi hawana training mzee ndio mana wanakalishwa kizembe...
 
Mkuu inaonekana unayajua mengi sana kuhusu Jeshi la Polisi Tanzania, ila hebu anza kwa kutuambia hiyo GPO ndiyo kitu gani Mkuu?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
We Mzee PASCO Nenda mahakamani kafungue kesi kuwashitaki jeshi la polisi.Ni PGO wewe msukuma GPO ndiyo nini?
 
GPO ina maelekezo when a police can shoot to kill and shoot to contain, kitendo cha polisi kuua mtuhumiwa wa ujambazi asiye na silaha ya moto ni kosa la kipolisi.
P
wewe nawe punguza ujinga kwaiyo usiku wa saa nane watu wanaambiwa wajisalimishe wanafyatua lisasi kwaiyo apo utajuaje kuwa huyu ana bunduki na yule Hana bunduki,afu nakuelewesha tu polisi anaruhusiwa kuua mtu yeyote mwenye siraha anaehatarisha maisha ya mtu mwingine kwaiyo sio laazima wawe na bunduki hata shoka tu na mapanga yakitaka kutumika dhini na mtu asie na hatia uyo mtu mwenye hizo silaha atawajibishwa haraka sana kwa risasi
 
Mkuu inaonekana unayajua mengi sana kuhusu Jeshi la Polisi Tanzania, ila hebu anza kwa kutuambia hiyo GPO ndiyo kitu gani Mkuu?

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu anajua zaidi yakuropoka tu,unajua nirahisi sana kuongea kama hauko kwenye field na pia nirahisi sana kusema wangekatatwa bila kujua uhalisia wamashambulizi yalikuaje,ndio maana Askari wa marekani wanaformula moja wakisema mikono juu na ukashindwa kutii amri basi utakutana na chuma immediately
 
Inaweza kuwa kweli kuwa kuna uhuni wa polisi.

Lakini Iringa kuna raia wengi kwa nini wawe hawa waliouwawa?

Kuwa na siraha mbili zilizokamatwa haimanishi kuwa hakukuwa na majibizano baina ya polisi na watuhumiwa.
Hata majambazi na wauwaji pia wana haki!.
Hata mtu akihukumiwa kunyongwa, ikitokea ana terminal illness, anakuwa treated kwanza apone ndipo adhabu ya kifo itekelezwe!. Siku ya utekelezaji adhabu ya kifo, dakitari anaitwa kwanza na kumpima kila kitu kuhakikisha yuko fit ndipo adhabu itekelezwe!. Hivyo wezi, majambazi, wauaji wote wana haki zao.
P
 
Jikite kwenye mada wakili msomi. Hapa majambazi walijibizana mapigo na polisi unategemea nini?
 
Swafiiii sana alafu wafukieni kwenye shimo moja hamna haja ya kujaza mortuary walahi
[emoji3062]
 
Unamaanisha alfajiri kuamkia asubuhi ya 30.09.2022
 
Mtu yeyote anayepongeza mauwaji yanayofanywa na Police, ni Mwehu anayetembea na nguo!
Wenzako wanakuuma, bado wewe !! Kwa hiyo majambazi yenyewe yakiua na kuchukua Mali za watu kwa nguvu Sawa ?! Unatafuta miaka 20, halafu unaibiwa vyote na kuuawa juu. Kongole polisi wetu.
 
HIVI KIKOSI CHA MAFINGA JKT NI NAMBA NGAPI?.....KJ.

najaribu kuwaza kikachero hapa.

Mkuu wa Kikosi itisha rolikolu tujue kama vijana wetu wote wapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…