Polisi Iringa yawaua majambazi saba

Polisi Iringa yawaua majambazi saba

Mbona hii habari imekas kiongo ongo,Mara majambazi 5 walijeuriwa na 7 kutoroka-mtoa mada anasema 7 walifariki kwenye habari majeruhi 5 walifariki.
 
Kwa mujibu wa Katiba, taasisi pekee yenye uwezo wa kuthitisha jinai ni mahakama hivyo it's wrong kwa taarifa ya polisi kusema imeua majambazi, ni imeua watuhumiwa wa ujambazi na sio majambazi!.

Kiukweli hizi karma za mauaji yanayofanywa na polisi wetu, if continues unchecked, zitakuja kumponza Mama!.
P
Sasa braza watu wana mibinduki na wanafyatua risasi utawakamataje uwapeleke mahakamani, katiba ni maandishi tu yakutungwa tena na watu kama wewe na mimi halafu hayana divinity yoyote ndani yake.
Walk on their shoes utaelewa maana yawawahi au uwahiwe
 
Katika briefing kama hizi za kutoka Polisi, sijawahi kusikia hata siku moja kuwa Polisi mmoja au wawili walijeruhiwa au kuuwawa. Mapambano makali lakini wanaokufa ni "majambazi sugu" tu wenye silaha kali za moto. Yaani, utafikiri movie, sterling hauwawi, kila ukitaka kumpiga risasi anakuwahi yeye!

Polisi, muwe mnamuua au kujeruhi na jamaa yenu mmoja basi ili tuwaamini kuwa kweli majambazi waliuwawa baada ya mapambano makali au wakikimbizwa hospitali! [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]
Mkuu kuhusiana Na Hilo inawezekana ikawa Ni kweli au pia isiwe kweli kwa mantiki moja jambazi anapoenda kufanya uhalifu sehem haendi bullet proof kumbuka Askari wetu kwa kuwa wanajua wanaenda sehem ambayo anajua Ni hatari lazima wanakuwa nazo pia wale majambazi wao wanakuwa hawajui kuwa wapo mtegoni kumbe wamezingirwa hivyo wakusturiwa huku wao watatokea upande kumbe huko ndo waliko Askari wetu wenye weledi kumbuka hapo syo kila Askari huwa anaenda maeneo Kama hayo wanaenda masniper Na sharpshooter

Ila all in all yote yanawezekana
 
Kwa mujibu wa Katiba, taasisi pekee yenye uwezo wa kuthitisha jinai ni mahakama hivyo it's wrong kwa taarifa ya polisi kusema imeua majambazi, ni imeua watuhumiwa wa ujambazi na sio majambazi!.

Kiukweli hizi karma za mauaji yanayofanywa na polisi wetu, if continues unchecked, zitakuja kumponza Mama!.
P
Hawakutii bila shuruti.
 
Hawakutii bila shuruti.
Kati ya watuhumiwa hao 12, ni wawili tuu ndio waliokuwa na silaha za moto, polisi wetu are well trained how to shoot to contain and shoot to kill!.

Kiukweli karma itakuja kuwafidia polisi wetu for cold blooded murders with impunity!.
P
 
Kati ya watuhumiwa hao 12, ni wawili tuu ndio waliokuwa na silaha za moto, polisi wetu are well trained how to shoot to contain and shoot to kill!.

Kiukweli karma itakuja kuwafidia polisi wetu for cold blooded murders with impunity!.
P
Ulitaka wote 12 wawe na bunduki ili iweje?
 
Hawawezi kuwakamata mpaka wawaue?ina maana police hawana mafunzo ya kutosha
 
Katika briefing kama hizi za kutoka Polisi, sijawahi kusikia hata siku moja kuwa Polisi mmoja au wawili walijeruhiwa au kuuwawa. Mapambano makali lakini wanaokufa ni "majambazi sugu" tu wenye silaha kali za moto. Yaani, utafikiri movie, sterling hauwawi, kila ukitaka kumpiga risasi anakuwahi yeye!

Polisi, muwe mnamuua au kujeruhi na jamaa yenu mmoja basi ili tuwaamini kuwa kweli majambazi waliuwawa baada ya mapambano makali au wakikimbizwa hospitali! [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]

Yaan na walivyo waongo waongo sasa hata kuwaamin ni shida
 
Kwa hiyo kama mtuhumiwa anajibizana na polisi, polisi wasijihami?
Mbona nimeeleza vizuri tuu, PGO imeelekeza when the police can shoot to kill and when to shoot just to contain for apprehension and arrest. A responsible government lazima ipate maelezo ya kutosha kuhusu mapambano ya polisi na majambazi wenye silaha za moto, ikaua majambazi 7 lakini silaha zilizokamatwa ni 2!. Hii inaanisha kuna watuhumiwa 5 wasiokuwa na silaha za moto lakini wameuwawa!.

Nilichosema ni kuwa polisi wauwaji hawa, lazima watashughulikiwa ipasavyo na karma, na vitendo hivi vikiendelea and be left unchecked, watakuja kumponza boss wao!. Kwani yule naniliu ni yeye ndiye aliyefyatua zile pyu pyu za Lissu au kumpoteza Ben Saanane na Azori Gwanda?, mwisho wa siku karma imekula kichwa cha nani?. Tena karma ilivyo ya ajabu, sio tuu itawashughulikia wauwaji bali hata wanaoshangilia kumwagika kwa innocent blood kwa kisingizio chochote!, be panya road au majambazi!.

Usikute hata hizo silaha zilizoshikwa for display ni from their consficated weapons from their store just to justify their impunity!.
P
 
Back
Top Bottom