JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Akili za hovyo,njaa noma,analinda kibarua chakeHawa ndio Polisi wetu na hii ndio Tanzania chini ya Raisi Samia.
Jisomeni wenyewe maneno haya ya RPC wa Mkoa wa Mara:
View attachment 1923330
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za hovyo,njaa noma,analinda kibarua chakeHawa ndio Polisi wetu na hii ndio Tanzania chini ya Raisi Samia.
Jisomeni wenyewe maneno haya ya RPC wa Mkoa wa Mara:
View attachment 1923330
Ipi ?! Hii ya hakimu Simba !!CHADEMA nendeni mahakamani acheni kulialia,tumechoka na haya ya polisi,mbona mnao mawakili wasomi shida ipo wapi
Hii kitu ni zaidi ya kima aisee,Ona kima hiii
Dah..Kuna wakati tulikuwa na Polisi wenye akili!
Nafikiri walistaafu wote.
Mkuu kwa nini unadhalilisha punda???!!!Huyu punda hajielewi
Hawa ndio Polisi wetu na hii ndio Tanzania chini ya Raisi Samia.
Jisomeni wenyewe maneno haya ya RPC wa Mkoa wa Mara:
View attachment 1923330
MUNGU ampe pumIko la milele Marehemu Hamza..Hawa ndio Polisi wetu na hii ndio Tanzania chini ya Raisi Samia.
Jisomeni wenyewe maneno haya ya RPC wa Mkoa wa Mara:
View attachment 1923330
Wakati huo huo kule Visiwani hawajengi uchumi hivyo ni RUKHSA ACT Wasaliti kukutana.
Mfuate huko aheraWazungu ruksa kuturushia ndizi.
Nimemkumbuka Hamza.
Mfuate huyo Hamza wako.MUNGU ampe pumIko la milele Marehemu Hamza..
Tunawahitaji wale kama 100 hivi kutunyooshea hawa washenzi.
Masalia ya chizi Meko..upo..??Mfuate huyo Hamza wako.
Ukiona hivi, ujue kwa sasa watawala watafanya ajira za polisi ziwe za wale waliofeli masomo, lengo ni kuhakikisha wanapata polisi wa kuwaagiza chochote kwani wanajua hawatadhubutu kukataa amri hizo haramu kutokana na uwezo wao mdogo.Hakika hawa jamaa ni very primitive.
Hawa ndio Polisi wetu na hii ndio Tanzania chini ya Raisi Samia.
Jisomeni wenyewe maneno haya ya RPC wa Mkoa wa Mara:
View attachment 1923330
HahahaWazungu ruksa kuturushia ndizi.
Nimemkumbuka Hamza.
Tunadunda tu mkuu. Vipi umeshaenda kumsalimia Gaidi Mwenyekiti wako?Masalia ya chizi Meko..upo..??