Polisi Marekani wawapiga maafisa, Profesa katika Chuo Kikuu cha Washington St. Louis, wamewavunja mbavu

Kumbe unajua unaposti uharo malizia kabisa na huu uharo 🤣🤣🤣

View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1740633353962078430?t=72GgLHVb4YDd-TIMS1XuLQ&s=19
 
Ila hawa sioni wakilalamikiwa
🤣🤣🤣

View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1740633353962078430?t=72GgLHVb4YDd-TIMS1XuLQ&s=19
 
Huoni wewe nani? Hawa walokole wa JF bana sasq watu wanaandamana Marekani weww upo Makete unaumiia dunia ina vituko.

BREAKING: Hotuba hii nzuri ya jana ya profesa wa Columbia kuhusu woga wa uongozi wa chuo kuwaita polisi kuwakamata wanafunzi itatajwa katika historia -- na itatia moyo vizazi vya wanafunzi kwa miongo kadhaa ijayo.

Columbia bado iko kwenye lockdown siku mbili baadaye.⤵️

View: https://x.com/sdonziger/status/1786057981278212572?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
kwan jambaz lazima asiwe profesa ? je unajuwa kuwa kwenye hivyo vyuo waliingizwa raia wasio wanachuo kuchochea maandamano ? je ingekuwa hizo nchi ulizotaja wangewaacha ? kwa hilo kosa ? kama huna tv nenda hata kwa jiran ukaone , ukorofi wa hao waandamanaj , wanawadhuru watu wasio fungamana na maaandamano yao , je wao unataka waachwe ?
 
Tupostie na hawa

View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1740633353962078430?t=72GgLHVb4YDd-TIMS1XuLQ&s=19https://twitter.com/TheMossadIL/status/1755583619685290380?t=72GgLHVb4YDd-TIMS1XuLQ&s=19
 
Hawa hamas wanaleta fujo kwa wanafunzi wayahudi. Sijui siku wayahudi wakileta fujo kwa Wapalestina hali itakuwaje.
Shika adabu yako wewe.
Umeona kuna Hamas pale!?
Je yule profesa ni hamas?
Je wanawake wakizungu waliogalagazwa chini ni hamas?
Mpumbavu wa mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…