Polisi Marekani wawapiga maafisa, Profesa katika Chuo Kikuu cha Washington St. Louis, wamewavunja mbavu

Polisi Marekani wawapiga maafisa, Profesa katika Chuo Kikuu cha Washington St. Louis, wamewavunja mbavu

Mitandao ya kijamii imekuja kuonesha mengi sana ya USA, tuendelee kufatilia🤣
 
Halafu wanamalizia death to america allah is greatest ndani ya america na sio tehran wala gaza halafu waachwe tu ? 🤣🤣🤣
Ripoti ya BBC kuhusu jinsi Jeshi la Ulinzi la Israeli lilivyowaua watoto wawili wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa - Basil wa miaka 15 na Adam wa miaka 8.

Adam mwenye umri wa miaka 8 alipigwa risasi kisogoni alipokuwa akiwakimbia askari.

Halafu wewe Muisrael mweusi shabiki mandanzi unafurahia haya mauaji na kujichekesha kama shoga.


View: https://x.com/saulstaniforth/status/1785974743348158558?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Aisee USA wana huruma sana yaani watu kusukumwa tu imekua shocking 😂😂
Halafu na watu bado wanaruhusiwa kuendelea na maandamano yao

Just imagine ingekuwa Teheran wanaandamana kuunga mkono Israel
Just imagine ingekuwa moscow?
 
Ripoti ya BBC kuhusu jinsi Jeshi la Ulinzi la Israeli lilivyowaua watoto wawili wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa - Basil wa miaka 15 na Adam wa miaka 8.

Adam mwenye umri wa miaka 8 alipigwa risasi kisogoni alipokuwa akiwakimbia askari.

Halafu wewe Muisrael mweusi shabiki mandanzi unafurahia haya mauaji na kujichekesha kama shoga.


View: https://x.com/saulstaniforth/status/1785974743348158558?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Posti na hawa basi 🤣🤣🤣

View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1755583619685290380?t=72GgLHVb4YDd-TIMS1XuLQ&s=19

View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1740633353962078430?t=72GgLHVb4YDd-TIMS1XuLQ&s=19
 
Aisee USA wana huruma sana yaani watu kusukumwa tu imekua shocking 😂😂
Halafu na watu bado wanaruhusiwa kuendelea na maandamano yao

Just imagine ingekuwa Teheran wanaandamana kuunga mkono Israel
Just imagine ingekuwa moscow?
Wavaa kobazi wabaguzi sana
Tehran wakiandamana kelele.zote kwa USA ila USA wanafunzi wanaandamana lakini hakuna mchawi anaetafutwa
 
Wavaa kobazi wabaguzi sana
Tehran wakiandamana kelele.zote kwa USA ila USA wanafunzi wanaandamana lakini hakuna mchawi anaetafutwa
Duniani kuna vituko sana mvaa msalaba wa mbao kilo 10 shigoni anamcheka mvaa kobazi😀
Wavaa kobazi wabaguzi sana
Tehran wakiandamana kelele.zote kwa USA ila USA wanafunzi wanaandamana lakini hakuna mchawi anaetafutwa
 

Hoja ipi? Yaani uharo wako ndiyo hoja? Unanipangia cha kupost? Post wewe inatosha mimi mapost hizi.
Matukio ya kutisha yanatoka UCLA.

Ujumbe wa Amerika kwa ulimwengu uko wazi:

Huwezi kupinga
Huwezi kuandamana
Huwezi kuimba
Huwezi kueleza mshikamano au kuvaa alama fulani

Tukifadhili Mauaji ya Kimbari, lazima ukubali.

Hii sio demokrasia. Ni udikteta wa Israel.


View: https://x.com/kahlissee/status/1786053432807231524?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Kabla ya kukamatwa kwangu, mimi na timu yangu tulichubuliwa na kupigwa, tukatupwa chini, na kufungwa zipu. Hili halikuwa tukio langu la kwanza la kukamatwa kwa maandamano, lakini lilikuwa na jeuri isiyo ya kawaida.

Wanafunzi hao wanatumia haki yao ya kujieleza iliyolindwa kikatiba kwa hatari ya ghasia na majeraha kutoka kwa mamlaka ya chuo kikuu, polisi na waandamanaji. Ikiwa una fursa ya kujiunga na kambi iliyo karibu nawe, tafadhali fanya hivyo. Kadiri wanafunzi hawa wanavyoungwa mkono zaidi na jamii, ndivyo itakavyokuwa vigumu kwa watu wanaonyamazisha kuhalalisha matendo yao ya kukandamiza upinzani huu.

View: https://x.com/drjillstein/status/1786118536047517888?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Back
Top Bottom