nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,976
- 1,181
Hivi uharo unaonadika hapo kweli kuna mtu atajadiliana na punguani kama wewe😀.
Akili za kishoga tu kila saa unawaza matako tu.
😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi uharo unaonadika hapo kweli kuna mtu atajadiliana na punguani kama wewe😀.
Akili za kishoga tu kila saa unawaza matako tu.
😀
Ufahamu vitu vingi wewe ni shabiki mandanzi
Mzayuni aliingia katika kambi ya Gaza katika Chuo Kikuu cha Pennsylvania leo akinyunyiza kemikali isiyojulikana katika eneo hilo kile kinachoendelea.
View: https://x.com/goodvibepolitik/status/1785751538893279617?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ufahamu vitu vingi wewe ni shabiki mandanzi
Mzayuni aliingia katika kambi ya Gaza katika Chuo Kikuu cha Pennsylvania leo akinyunyiza kemikali isiyojulikana katika eneo hilo kile kinachoendelea.
View: https://x.com/goodvibepolitik/status/1785751538893279617?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Free Free Palestina.Vipi mchamba wima mnaandamana lini?
Dunia yate sasa ni Hamas.Kama Hamas wamejificha humo ndani wacha wanyuyuziwe tu.
Wewe na huyu nani ana uchungu na Israel.Hawa hamas wanaleta fujo kwa wanafunzi wayahudi. Sijui siku wayahudi wakileta fujo kwa Wapalestina hali itakuwaje.
Free Free Palestina.
Ajabu wewe upo Makete unaumia wasomi wa Marekani wakiandamana😀
View: https://x.com/qudsnen/status/1785967248638726360?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ripoti ya BBC kuhusu jinsi Jeshi la Ulinzi la Israeli lilivyowaua watoto wawili wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa - Basil wa miaka 15 na Adam wa miaka 8.Halafu wanamalizia death to america allah is greatest ndani ya america na sio tehran wala gaza halafu waachwe tu ? 🤣🤣🤣
Ripoti ya BBC kuhusu jinsi Jeshi la Ulinzi la Israeli lilivyowaua watoto wawili wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa - Basil wa miaka 15 na Adam wa miaka 8.
Adam mwenye umri wa miaka 8 alipigwa risasi kisogoni alipokuwa akiwakimbia askari.
Halafu wewe Muisrael mweusi shabiki mandanzi unafurahia haya mauaji na kujichekesha kama shoga.
View: https://x.com/saulstaniforth/status/1785974743348158558?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wavaa kobazi wabaguzi sanaAisee USA wana huruma sana yaani watu kusukumwa tu imekua shocking 😂😂
Halafu na watu bado wanaruhusiwa kuendelea na maandamano yao
Just imagine ingekuwa Teheran wanaandamana kuunga mkono Israel
Just imagine ingekuwa moscow?
Duniani kuna vituko sana mvaa msalaba wa mbao kilo 10 shigoni anamcheka mvaa kobazi😀Wavaa kobazi wabaguzi sana
Tehran wakiandamana kelele.zote kwa USA ila USA wanafunzi wanaandamana lakini hakuna mchawi anaetafutwa
Tehran wakiandamana kelele.zote kwa USA ila USA wanafunzi wanaandamana lakini hakuna mchawi anaetafutwa
Bado hujanijibu hii hojaDuniani kuna vituko sana mvaa msalaba wa mbao kilo 10 shigoni anamcheka mvaa kobazi😀
Wavaa kobazi wabaguzi sana
Bado hujanijibu hii hoja
Je hawa utawaposti lini humu 🤣🤣
View: https://twitter.com/TheMossadIL/status/1740633353962078430?t=72GgLHVb4YDd-TIMS1XuLQ&s=19