Polisi mlichowafanyia hao wanajeshi kwa ushahidi wao mmewakomoa ila mnatia hasira

[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Bora JK aliundaga tume kuchunguzaga yale mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge waliotolewa uhai na polisi magaidi.

Yule Zombe sijui yupo wapi sasa hivi ,maana wale maaskari wenzake wengi walikufa hata kabla kesi haijaisha
 
Bora JK aliundaga tume kuchunguzaga yale mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge waliotolewa uhai na polisi magaidi.

Yule Zombe sijui yupo wapi sasa hivi ,maana wale maaskari wenzake wengi walikufa hata kabla kesi haijaisha
Alishafariki,laana haiwezi kukuacha salama
 
Mama SSH kama ananwashauri ......avunje kikosi cha mauaji na kuunda tume huru kijaji kuchunguza kikundi hicho...anzia kwa Hamza hadi kesi ya Mbowe hakuna alie juu ya sheria....wananuka damu za watu..
Juzi juzi tu hapa katoka Kigali baada ya IGP, ataanzaje kuvunja kikosi cha wauaji?
 
Mama alisema Mbowe alikuwa na kesi ya ugaidi na wenzake walishahukumiwa.Unambishia mama?Huli wali na mandondo leo jioni.😝😝😝😝😝
 
Mkuu haya maandishi yako yatakuwa sahihi tu kama polisi na serikali watamleta ama kuonyesha Lejenje aliko, kinyume na hapo haya maelezo ya upande mmoja na ushahidi wa kimazingira na tabia ya jeshi letu la polisi ya muda mrefu ni dhahiri kwamba huyu ndugu walimmaliza!
 
Nikikuita wewe ni mpumbavu nakosea? Kama mashahidi wamesema sisi tuache kuhoji? Unategemea hata Goodluck akiitwa atathibitisha au atakubali?

Kama mashahidi wanasema na alikua miongoni mwao tutaacha kuhoji? Kama wote walikamatwa basi tujue ilikuaje Lijenje hakujamatwa na kwanini Goodluck atoe kauli ile?
 
Rubbish reaction from obtuse thinking tank
 
Wanawafanyia wanajeshi mambo hayo sisi wengine hata Sungusungu hatujapita tunafanyiwa mangapi?

Ewe mwendazake nenda Baba ulaaniwe ww na uzao wako woote.
 
Mimi nawaza tu hivi akina Hans Pope na Maganga walifanyiwa vya aina hii? Maana sikuwahi kusikia kabla.
Nyerere aliwasamehe. Ingawa walitenda Kosa la uhaini lakini Shamiri ya Nyerere ilimkumbusha kuw ana yeye( Nyerere) alikosea ndio maana walichukua maamuzi yale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…