Polisi mlichowafanyia hao wanajeshi kwa ushahidi wao mmewakomoa ila mnatia hasira

Polisi mlichowafanyia hao wanajeshi kwa ushahidi wao mmewakomoa ila mnatia hasira

Mapema mwaka huu kuna mtabiri alitabiri mambo mengi yatayotokea hapa kwetu mengi yametimia hasa la mwendazake,na wanasiasa wengine,kulikuwa na uzi humu akielezea yote hayo yule mtu,aligusia pia machafuko kulikumba Taifa..
 
Alikuwa Ibilisi kabisa.
Zaidi hata ya uyo ibilisi mwenyewe,maana yeye alikuwa katili,fedhuli mix ufisadi,mpaka leo nasikia yupo anakula mema ya nchi,kwa mijitu ya namna hio ni ngumu kukubali CCM kutoka madarakani,ukichanganya na maadui ujinga maradhi na umaskini wa watanzania na ukatili wa jeshi la polisi kiama tu ndio itakuwa ponapona ya raia wa nchi hii
 
Ni mtoto wake huyu,yupo kikosi cha kupambana na ugaidi Arusha.
Basi kama ni hivyo ni sawa kabisa ukoo huu ni katili mno!!sijui hata kama una kula chakula cha kawaida kama sisi itakuwa hata kuku wananyonga ndio wanapika maana kwa ukatili walionao ni zaidi ya Lucifer.
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Huyu Linjenje Thomasi Ni nani ? Nashindwa kuunga dots
 
Zaidi hata ya uyo ibilisi mwenyewe,maana yeye alikuwa katili,fedhuli mix ufisadi,mpaka leo nasikia yupo anakula mema ya nchi,kwa mijitu ya namna hio ni ngumu kukubali CCM kutoka madarakani,ukichanganya na maadui ujinga maradhi na umaskini wa watanzania na ukatili wa jeshi la polisi kiama tu ndio itakuwa ponapona ya raia wa nchi hii
Yes ccm inalindwa kqa gharama yoyote na hao wahuni.
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Kiukweli imewakera wengi kuwatesa hao Askari wetu,kumbe washaenda hadi darful kulinda amani, mwingine ni mwalimu wa ukomandoo, wanaenda kuteswa kijingajinga tu,Kama hii nikweli,namshauri Samia hiyo kesi ingefutwa tu, mbeleni itaenda kuleta chuki KUBWA, nahisi Kuna kitu Mungu anataka kitokee Tanzania
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.

Una habari kuwa kinachoendelea sasa hivi sio kesi ya msingi? Ushahidi wa ughaidi hauwezi kutolewa hapa. Unaonekana kuwa clueless!

Hata hivyo, hawa wanajeshi ni criminal defendants, sio independent witnesses. Ushahidi wao haupaswi kulaliwa mlango wazi hata kidogo.
 
Acha kuweka tafsiri zako potofu hapa

Kuanzia mwanzo mashahidi wa serikali walisema mpaka wanaondoka Moshi hawakumkamata Moses Linjenje.

Maelezo ya utetezi kila oanayehojiwa anadai hakuwahi kuonana na Moses Linjenje wala kumwona akikamatwa na polisi

Kutegemea taarifa ya upande mmoja wa utetezi kwamba walitishiwa kwamba wasingekiri wangefanya kama alivyofanyiwa Moses Linjenje haithibitishi Moses Linjenje alikamatwa na nani na walimfanya nini, lini, wapi kwa jinsi gani na kwanini?
Ndugu, hivi circumstantial evidence unaifahamu... tunatakiwa tujue:
1 kama kweli huyo Goodluck yupo
2. Kama lijenje yupo
3. Good luck aje ajitete uhusika wake katika kupandikizia watu bastola na madawa, halafu aulizwe pia kauli zake...
Yakimshinda anaweza bwaga manyanga kama Yule oldinyo Lengai anaye mkabiri pilato
 
Mm nampenda sana mama Samia ila kwa tukio hili simuungi mkono hata kidogo. Mama anaharibu heshima yake na jili jambo linamtia haibu.
Mr Biden alikataa kuonana naye.shame
 
Asilimia 87 ya story kesi tunazozisoma kwenye sheria ni maelezo ya kutunga ya kila pande ili kuweza kushswishi mahakama kukupa.ushindi. Ninashangaa aliyetoa wazo la ktumia vitabu vitakatifu kuapa halafu baadaye unatoa story ya kutunga.Ukitaka kuamini mtuhumiwa kisomewa kesi akikubali hata hakimu anamshangaa. Hivyo hata mawakili wanawaongoza wateja wao kusema uongo ili waweze kushinda kesi
Tupe hiyo sampling na methodology iliyokufanya ufikie conclusion ya 87% .....
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Tunatawaliwa Idi Amin style
 
JINGA
Acha kuweka tafsiri zako potofu hapa

Kuanzia mwanzo mashahidi wa serikali walisema mpaka wanaondoka Moshi hawakumkamata Moses Linjenje.

Maelezo ya utetezi kila oanayehojiwa anadai hakuwahi kuonana na Moses Linjenje wala kumwona akikamatwa na polisi

Kutegemea taarifa ya upande mmoja wa utetezi kwamba walitishiwa kwamba wasingekiri wangefanya kama alivyofanyiwa Moses Linjenje haithibitishi Moses Linjenje alikamatwa na nani na walimfanya nini, lini, wapi kwa jinsi gani na kwanini?
 
Back
Top Bottom