Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Ni mtoto wake huyu,yupo kikosi cha kupambana na ugaidi Arusha.Kuna mzee mmoja aliwahi kuwa mkuu wa polisi anaitwa mahita,alikuwa katili mlugulu yule haijapata kutokea alikuwa zaidi ya neno katili!! Kama ndio baba yake na uyu kijana polisi!! Basi sishangai ukatili uko kwenye damu yao
Zaidi hata ya uyo ibilisi mwenyewe,maana yeye alikuwa katili,fedhuli mix ufisadi,mpaka leo nasikia yupo anakula mema ya nchi,kwa mijitu ya namna hio ni ngumu kukubali CCM kutoka madarakani,ukichanganya na maadui ujinga maradhi na umaskini wa watanzania na ukatili wa jeshi la polisi kiama tu ndio itakuwa ponapona ya raia wa nchi hiiAlikuwa Ibilisi kabisa.
Basi kama ni hivyo ni sawa kabisa ukoo huu ni katili mno!!sijui hata kama una kula chakula cha kawaida kama sisi itakuwa hata kuku wananyonga ndio wanapika maana kwa ukatili walionao ni zaidi ya Lucifer.Ni mtoto wake huyu,yupo kikosi cha kupambana na ugaidi Arusha.
Huyu Linjenje Thomasi Ni nani ? Nashindwa kuunga dotsKwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.
Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.
Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?
Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?
Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.
Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Yes ccm inalindwa kqa gharama yoyote na hao wahuni.Zaidi hata ya uyo ibilisi mwenyewe,maana yeye alikuwa katili,fedhuli mix ufisadi,mpaka leo nasikia yupo anakula mema ya nchi,kwa mijitu ya namna hio ni ngumu kukubali CCM kutoka madarakani,ukichanganya na maadui ujinga maradhi na umaskini wa watanzania na ukatili wa jeshi la polisi kiama tu ndio itakuwa ponapona ya raia wa nchi hii
Wakati huo sahamiha ananyea debeSikio la kufa halisikii dawa,naomba niishie hapa ila kuna siku Jumuiya za AU,EAC,SADC na UN zitatoa tamko kama la Guinea..
Kiukweli imewakera wengi kuwatesa hao Askari wetu,kumbe washaenda hadi darful kulinda amani, mwingine ni mwalimu wa ukomandoo, wanaenda kuteswa kijingajinga tu,Kama hii nikweli,namshauri Samia hiyo kesi ingefutwa tu, mbeleni itaenda kuleta chuki KUBWA, nahisi Kuna kitu Mungu anataka kitokee TanzaniaKwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.
Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.
Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?
Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?
Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.
Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Dah, inasikitisha sana, hii Kama nikweli nikuzalilisha walinzi wetu wa Nchi,Huyu ndio Linjenje anaeView attachment 1956138
tajwa kupotezwa na kina afande Gudluck kwa mjibu wa Mshtakiwa
Dah,imeniuma kiukweli, Kama huyo mmoja alishaenda kumbe hadi kulinda amani nje,Aise yaani wanajeshi wa bongo wanafanyiwa hivi
Ova
😪View attachment 1956136
Itabidi aje awasaidie. Hadi Luteni Urio naye anapigwa na kuminywa kende na vibaka wa Siro wasiojua hata maana ya PGO!!!? Jeshi limedhalilishwa sana!
Kesi imeibua mambo mengi hii mbona aibu kwa jeshi la police na kina sirro mbaya mama naye alisemapo nenoKama Rais mwenyewe alishatoa hukumu kwa kusema Mbowe amekutwa na kesi ya ugaidi kwa nini asichafuke?
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.
Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.
Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?
Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?
Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.
Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Alitoa hukumu kabla ya mahakamaKesi imeibua mambo mengi hii mbona aibu kwa jeshi la police na kina sirro mbaya mama naye alisemapo neno
Ndugu, hivi circumstantial evidence unaifahamu... tunatakiwa tujue:Acha kuweka tafsiri zako potofu hapa
Kuanzia mwanzo mashahidi wa serikali walisema mpaka wanaondoka Moshi hawakumkamata Moses Linjenje.
Maelezo ya utetezi kila oanayehojiwa anadai hakuwahi kuonana na Moses Linjenje wala kumwona akikamatwa na polisi
Kutegemea taarifa ya upande mmoja wa utetezi kwamba walitishiwa kwamba wasingekiri wangefanya kama alivyofanyiwa Moses Linjenje haithibitishi Moses Linjenje alikamatwa na nani na walimfanya nini, lini, wapi kwa jinsi gani na kwanini?
Mr Biden alikataa kuonana naye.shameMm nampenda sana mama Samia ila kwa tukio hili simuungi mkono hata kidogo. Mama anaharibu heshima yake na jili jambo linamtia haibu.
Tupe hiyo sampling na methodology iliyokufanya ufikie conclusion ya 87% .....Asilimia 87 ya story kesi tunazozisoma kwenye sheria ni maelezo ya kutunga ya kila pande ili kuweza kushswishi mahakama kukupa.ushindi. Ninashangaa aliyetoa wazo la ktumia vitabu vitakatifu kuapa halafu baadaye unatoa story ya kutunga.Ukitaka kuamini mtuhumiwa kisomewa kesi akikubali hata hakimu anamshangaa. Hivyo hata mawakili wanawaongoza wateja wao kusema uongo ili waweze kushinda kesi
Tunatawaliwa Idi Amin styleKwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.
Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.
Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?
Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?
Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.
Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Acha kuweka tafsiri zako potofu hapa
Kuanzia mwanzo mashahidi wa serikali walisema mpaka wanaondoka Moshi hawakumkamata Moses Linjenje.
Maelezo ya utetezi kila oanayehojiwa anadai hakuwahi kuonana na Moses Linjenje wala kumwona akikamatwa na polisi
Kutegemea taarifa ya upande mmoja wa utetezi kwamba walitishiwa kwamba wasingekiri wangefanya kama alivyofanyiwa Moses Linjenje haithibitishi Moses Linjenje alikamatwa na nani na walimfanya nini, lini, wapi kwa jinsi gani na kwanini?