Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi


Husiukumu maana hujui mwisho wako , pili police wajitazame waache dhuruma
 
Inatakiwa twende kumzika Hamza maelfu kwa maelfu hili kutoa ujumbe kwa magaidi police kuwa hatuwataki tunao uwezo wa kujilinda kwa masungusungu & matunguli

Wangekuwa wazima wangemkamata akiwa hai
 
Husiukumu maana hujui mwisho wako , pili police wajitazame waache dhuruma
kwahiyo ninyi watu mnataka watu wote wapate dhamana, hata magaidi kama huyu pia wapate dhamana? imagine unaishi mtaani na jamaa kama lile, mnataka kuirudisha nchi iwe kama somalia?
 
Acheni chuki na uislamu.
kama uislam ni kama alichokuwa anafanya hamza, kwakweli samahani sana,...ila kama hamza hakuwakilisha dini ya kiislam hapo sawa. sisi tunamjadili hamza wewe unasema tuache chuki na uislam, kwani dini ilimruhusu kufanya vile, na kama ingekuwa inaruhusu (sijui kama inaruhusu) basi dini hiyo itakuwa mbaya sana.
 
kwenye clip ile alisema siro ameua waislam, sasa sijui ndio walikuwa wachimba madini. tuache tusijadili sana hata hivyo.
 
Hii si inafanyika ikiwa mtu haijulikani kimemuua nini? Uyu si kapigwa risasi inafaamika.
kisheria ni lazima, pia wanataka kujua kwa mfano, risasi zilicharanga maini, utumbo mdogo, moyo au utumbo wa ambaruti.
 
Labda washapita na figo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…